Gari yako ishawahi kukuambia hivi?

Gari yako ishawahi kukuambia hivi?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Haya magari ya siku hizi noma sana.

Pata picha uko kwenye highway, expressway, freeway, interstate, etc.

Kwenye uendeshaji wa magari kuna kitu kinaitwa highway hypnosis.

Ile hali ambayo ukiwa unaendesha gari lakini unajikuta unaacha kuwa attentive na kuangalia barabarani na akili yako inakuwa kwenye mambo mengine.

Sasa ikitokea hivyo, baadhi ya haya magari ya siku hizi yana monitoring system ambayo itakujulisha kuwa umeanza kuwa distracted.

Baadhi yata flash ki message kuwa attentiveness yako ni ndogo.

Mengine yana PA system itakayokuambia kwamba umeanza kuwa inattentive.

Mimi kwa mara ya kwanza iliponitokea, ilikuwa ni hiyo sauti.

Nilishangaa sana. Gari inajuaje kuwa mimi macho yangu yameacha kuangalia ninakokwenda hadi kuniambia kuwa nipo distracted?

Ni safety feature nzuri. Ila, kwa upande mwingine, hiyo siyo intrusion kweli kwenye faragha zetu?

Yawezekana haya magari ya siku hizi yana vi camera vya kufuatilia nyendo na matendo yetu?
 
Haya magari ya siku hizi noma sana.

Pata picha uko kwenye highway, expressway, freeway, interstate, etc.

Kwenye uendeshaji wa magari kuna kitu kinaitwa highway hypnosis.

Ile hali ambayo ukiwa unaendesha gari lakini unajikuta unaacha kuwa attentive na kuangalia barabarani na akili yako inakuwa kwenye mambo mengine.

Sasa ikitokea hivyo, baadhi ya haya magari ya siku hizi yana monitoring system ambayo itakujulisha kuwa umeanza kuwa distracted.

Baadhi yata flash ki message kuwa attentiveness yako ni ndogo.

Mengine yana PA system itakayokuambia kwamba umeanza kuwa inattentive.

Mimi kwa mara ya kwanza iliponitokea, ilikuwa ni hiyo sauti.

Nilishangaa sana. Gari inajuaje kuwa mimi macho yangu yameacha kuangalia ninakokwenda hadi kuniambia kuwa nipo distracted?

Ni safety feature nzuri. Ila, kwa upande mwingine, hiyo siyo intrusion kweli kwenye faragha zetu?

Yawezekana haya magari ya siku hizi yana vi camera vya kufuatilia nyendo na matendo yetu?
Ungekua na ka video clip huu uzi ungekua bomba zaidi!
 
Haya magari ya siku hizi noma sana.

Pata picha uko kwenye highway, expressway, freeway, interstate, etc.

Kwenye uendeshaji wa magari kuna kitu kinaitwa highway hypnosis.

Ile hali ambayo ukiwa unaendesha gari lakini unajikuta unaacha kuwa attentive na kuangalia barabarani na akili yako inakuwa kwenye mambo mengine.

Sasa ikitokea hivyo, baadhi ya haya magari ya siku hizi yana monitoring system ambayo itakujulisha kuwa umeanza kuwa distracted.

Baadhi yata flash ki message kuwa attentiveness yako ni ndogo.

Mengine yana PA system itakayokuambia kwamba umeanza kuwa inattentive.

Mimi kwa mara ya kwanza iliponitokea, ilikuwa ni hiyo sauti.

Nilishangaa sana. Gari inajuaje kuwa mimi macho yangu yameacha kuangalia ninakokwenda hadi kuniambia kuwa nipo distracted?

Ni safety feature nzuri. Ila, kwa upande mwingine, hiyo siyo intrusion kweli kwenye faragha zetu?

Yawezekana haya magari ya siku hizi yana vi camera vya kufuatilia nyendo na matendo yetu?
Freeway namabengo?
 
Tushajua una gari basiiiii tusamehe
Gari kwako ni big deal?

I’ve had cars probably before you were even born.

Huna tofauti na yule aliyeniambia ‘tushajua una ATM card’ kisa tu nilielezea tofauti kati ya Visa na MasterCard.

Gari ni kitu cha kawaida sana. Sina haja ya kumjulisha yeyote yule kuwa ninayo au la.
 
Back
Top Bottom