Jojo123
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 432
- 703
Ndugu wanajamii, habari zenu!
Naombeni wataalamu wanisaidie kuniambia tatizo ni nini? Gari yangu aina ya Allion A15.
Huwa narecord Mileage kila nikiweka Mafuta ila nishangaa nikiwa njian juzi Millage ilikuwa inasoma 93499 ghafla ikaruka badala ya kuingia 93500 ikaenda 94100 nikahisi labda itarudi yenyewe naona haijarudia tena badala yake inaendelea ku count 94101, 94102....3,4,5,6,7, mpaka leo Inaendelea imefika 94227.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naombeni wataalamu wanisaidie kuniambia tatizo ni nini? Gari yangu aina ya Allion A15.
Huwa narecord Mileage kila nikiweka Mafuta ila nishangaa nikiwa njian juzi Millage ilikuwa inasoma 93499 ghafla ikaruka badala ya kuingia 93500 ikaenda 94100 nikahisi labda itarudi yenyewe naona haijarudia tena badala yake inaendelea ku count 94101, 94102....3,4,5,6,7, mpaka leo Inaendelea imefika 94227.
Sent using Jamii Forums mobile app