Gari yangu ina tatizo la kuchemsha naomba msaada

Gari yangu ina tatizo la kuchemsha naomba msaada

farujoni

Senior Member
Joined
Dec 19, 2016
Posts
189
Reaction score
246
Za muda huu..

Natumia gari aina ya Vitz old model gari hii ina tabia ya kuwasha taa nyekundu kuashiria kuwa temperature ya gari iko juu pindi jua linapokuwa kali sana na hali hii inapelekea gari kukosa nguvu ama kuzima kabisa.

Ila pindi inapowasha taa ya kuashiria kuwa gari inachemsha huwa naangalia kama maji kwenye gari yapo na nakuta maji yapo na wala ule mvuke wa kuashiria gari inachemsha huwa haupo.

Na pindi taa ya kuashiria kuwa gari inachemsha ikiwa inawaka nikizima AC baada ya muda gari inatulia naombeni msaada juu ya hili maana nimeshahangaika sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta mafundi Tu nduguuu,gari kumchemka inasababishwa na vitu vingi Kwa mfano water pump, cylinder head gasket, rejeta kama haijasafishwa Kwa muda mrefu,fan belt..
 
Kabla hujaliwa hela mwaga maji yote ya kwenye rejeta, weka coolant original zipo kwenye vikopo vya can (kama redbull) usichanganye na kitu chochote. Angalia kama fan inazunguka/kama mbili angalia kama zote zinazunguka alafu ikigoma jipeleke mwenyewe waku punyue manyoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla hujaliwa hela mwaga maji yote ya kwenye rejeta, weka coolant original zipo kwenye vikopo vya can (kama redbull) usichanganye na kitu chochote. Angalia kama fan inazunguka/kama mbili angalia kama zote zinazunguka alafu ikigoma jipeleke mwenyewe waku punyue manyoa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii inakua kwenye ujazo wa litre ngapi mkuu? Na itakua imetengenezwa na kampuni gani hiyo coolant ili iwe rahisi kwa mwamba kuigundua kwamba ni genuine ili aepukane na fake? Msaada wa picha kama IPO itapendeza zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla hujaliwa hela mwaga maji yote ya kwenye rejeta, weka coolant original zipo kwenye vikopo vya can (kama redbull) usichanganye na maji, gari ndogo vinaingia vikopo vitatu au vinne. Angalia kama fan inazunguka/kama mbili angalia kama zote zinazunguka alafu ikiendela kuchemsha jipeleke mwenyewe kwa mafundi waku punyue manyoa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikumbuki kampuni ila huwa ni kichupa kidogo, ukubwa kama grand malt, kinauzwa 5000 kimoja, ila asinunue zile za kwenye madumu. Maduka ya spare za magari wanazijua. Akisema nataka coolant original za kwenye makopo sio plastic
Hii inakua kwenye ujazo wa litre ngapi mkuu? Na itakua imetengenezwa na kampuni gani hiyo coolant ili iwe rahisi kwa mwamba kuigundua kwamba ni genuine ili aepukane na fake? Msaada wa picha kama IPO itapendeza zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bahati mbaya chupa niliacha hapo hapo, but ukisema coolant origina za kwenye chupa wore wanazielewa, bei yake ina anzia 500 kwa chupa moja. Mm nilikua na tatizo kama lako nilivyo weka hiyo, nikawa nimetibu. Alinishauro dereva mmoja wa magari ya IT,
Hii inakua kwenye ujazo wa litre ngapi mkuu? Na itakua imetengenezwa na kampuni gani hiyo coolant ili iwe rahisi kwa mwamba kuigundua kwamba ni genuine ili aepukane na fake? Msaada wa picha kama IPO itapendeza zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Munachosha sana watu baada ya kuijua JAMII FORUMS,hayo mambo ya kwenda garage munaomba ushauri humu?
Uza kimeo hicho,sisi tuko bize na TUME HURU NA ELIMU YA BINTI.
 
Sikumbuki kampuni ila huwa ni kichupa kidogo, ukubwa kama grand malt, kinauzwa 5000 kimoja, ila asinunue zile za kwenye madumu. Maduka ya spare za magari wanazijua. Akisema nataka coolant original za kwenye makopo sio plastic

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kiufupi coolant original kwa litre moja haiuzwi 5000 mkuu! Hizo unazozizungumzia ni zile za abro coolant ambazo zinatokea China na kiwango chake cha upoozaji sio kizuri kulinganisha na coolants za makampuni kama total, castrol, oryx, liquil molly nk kiufupi ukitaka coolant ambazo ni bora Na genuine kwa kila aina ya gari nashauri nunua za kutoka kwenye makampuni hyo niliyoyataja na bei zake kwa litre moja zinaanzia 15,000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thanks
Sasa kiufupi coolant original kwa litre moja haiuzwi 5000 mkuu! Hizo unazozizungumzia ni zile za abro coolant ambazo zinatokea China na kiwango chake cha upoozaji sio kizuri kulinganisha na coolants za makampuni kama total, castrol, oryx, liquil molly nk kiufupi ukitaka coolant ambazo ni bora Na genuine kwa kila aina ya gari nashauri nunua za kutoka kwenye makampuni hyo niliyoyataja na bei zake kwa litre moja zinaanzia 15,000

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom