Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga wewe!Asubuhi yote hii unataka gari liamke liende wapi??? Hujalipa hata chai...
Gari kutowaka inatokana na mambo mengi ikiwemo;betri kupoteza moto,gari kutokua na mafuta, terminal za betri kuwa loose,kuwashia gari kwenye namba D n.k,... listen betri inaweza ikawa inaoneka ful lakini isiwashe gari,betri inawasha gari ikiwa na 12v na kuendelea lakini chini ya hapo inakua na moto ila haiwezi ku start,Gari ni Toyota passo
betri iko full na dashboard inaonesha kila kitu kiko sawa but nikiwasha haistart kabisa je tatizo linaweza kuwa ni nn msaada please
Gari kutowaka inatokana na mambo mengi ikiwemo;betri kupoteza moto,gari kutokua na mafuta, terminal za betri kuwa loose,kuwashia gari kwenye namba D n.k,... listen betri inaweza ikawa inaoneka ful lakini isiwashe gari,betri inawasha gari ikiwa na 12v na kuendelea lakini chini ya hapo inakua na moto ila haiwezi ku start,
nawezaje kujua kama batri iko 12v?
Mpaka ipimwe bro,naomba niambie betri yako ina muda gani toka umenunua,maana nami nina passo kama yako!nawezaje kujua kama batri iko 12v?
Mkuu, kwanza naomba nikupongeze kwa kumiliki mkoko in town.Gari ni Toyota passo
betri iko full na dashboard inaonesha kila kitu kiko sawa but nikiwasha haistart kabisa je tatizo linaweza kuwa ni nn msaada please
(emoji23)(emoji23)(emoji23)(emoji23)(emoji23)umiza kichwa kidogo basi... anaglia dash board yako kwa makini utajua nin hakipo sawa
hivi hizi gari ndogo huwa haziitaji kuchoma heater kwanza kabla ya kuwasha hasa kipindi cha asubuhi?Gari kutowaka inatokana na mambo mengi ikiwemo;betri kupoteza moto,gari kutokua na mafuta, terminal za betri kuwa loose,kuwashia gari kwenye namba D n.k,... listen betri inaweza ikawa inaoneka ful lakini isiwashe gari,betri inawasha gari ikiwa na 12v na kuendelea lakini chini ya hapo inakua na moto ila haiwezi ku start,
Gari ndogo hasa za petrol ni mara chache!hivi hizi gari ndogo huwa haziitaji kuchoma heater kwanza kabla ya kuwasha hasa kipindi cha asubuhi?