sir kamugisha
Member
- Sep 22, 2012
- 20
- 8
Jamani nina gari yangu inashindwa kuwaka japo betri ina chaji, gari ina mafuta na moto unafika kwenye injini, naomba ushauri nini kinaweza kuwa tatizo hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tafuta fundi mzuri acheki main relay na fuel pump relay hata efi relay iFund alikuja akachek fuel system akaona mafuta yanafika akasema labda itakua ishu ya umeme, hapo ndo nlishindwa kuelewa
Okey ngoja ntamchek fundi auchekmfumo wa starter utakuwa na shida kidogo. hata mimi niliwahi kukumbwa na hilo tatizo. ilinigharimu kifaa cha sh 2000 tu
Hapo kwenye kupata fundi mzuri ndo changamoto kktafuta fundi mzuri acheki main relay na fuel pump relay hata efi relay i
OppaNi gari aina gani?
ulifanikiwa iwasha?..Fund alikuja akachek fuel system akaona mafuta yanafika akasema labda itakua ishu ya umeme, hapo ndo nlishindwa kuelewa
Hapana aisee badoulifanikiwa iwasha?..
Ukizungusha funguo hupati muitikio wowote?.Hapana aisee bado
Ukiwasha inakua kama inataka kuwaka alafu inaendelea kutoa mlio huo huo, hyo distributor ya umeme ndo ile ya relay and fuse au ni ipi?Ukizungusha funguo hupati muitikio wowote?.
Unajua distributor ya umeme inapokaa pale mbele?..
Hebu kaifungue angalia kama ina unyevu kifuniko chake, kisafishe mwagia petrol kidogo then kikaushe kabisa funga rudi washa!.
Hamna sio hiyo!!..Ukiwasha inakua kama inataka kuwaka alafu inaendelea kutoa mlio huo huo, hyo distributor ya umeme ndo ile ya relay and fuse au ni ipi?
Inakaa karibu na nn? ipo kwenye bonet pia?Hamna sio hiyo!!..