Gari yangu inasumbua msaada jamani

Gari yangu inasumbua msaada jamani

Quan Lup

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2016
Posts
683
Reaction score
946
Habari wakuu
Nina gari yangu ilipiga mzinga Run Aux ikaharibika rejeta,show airbag na bull joint ya upande was dereva ilikatika..

Sasa mafundi wakatengeneza gari ikakaa sawa gari ikatembea mwezi mmoja
Ikaanza Ku miss inazima fundi akasema ni gear box gear box imebadilishwa ukikanyaga mafuta haiifiki 100 inaishia 80
Mimechoka naombeni mnisaidie
Titizo litakua n nn
 
Habari wakuu
Nina gari yangu ilipiga mzinga Run Aux ikaharibika rejeta,show airbag na bull joint ya upande was dereva ilikatika..

Sasa mafundi wakatengeneza gari ikakaa sawa gari ikatembea mwezi mmoja
Ikaanza Ku miss inazima fundi akasema ni gear box gear box imebadilishwa ukikanyaga mafuta haiifiki 100 inaishia 80
Mimechoka naombeni mnisaidie
Titizo litakua n nn
Labda overdrive ipo off!
 
Mkuu hapo cha kwanza jaribu kufatilia sensa zote, pipe zote za hewa pamoja na injection na fuse zote km zinafanya kazi, plug na koil zaƙe kama zinafanya kazi bara ɓara...yangu ni hayo tu.
Habari wakuu
Nina gari yangu ilipiga mzinga Run Aux ikaharibika rejeta,show airbag na bull joint ya upande was dereva ilikatika..

Sasa mafundi wakatengeneza gari ikakaa sawa gari ikatembea mwezi mmoja
Ikaanza Ku miss inazima fundi akasema ni gear box gear box imebadilishwa ukikanyaga mafuta haiifiki 100 inaishia 80
Mimechoka naombeni mnisaidie
Titizo litakua n nn
 
Habari wakuu
Nina gari yangu ilipiga mzinga Run Aux ikaharibika rejeta,show airbag na bull joint ya upande was dereva ilikatika..

Sasa mafundi wakatengeneza gari ikakaa sawa gari ikatembea mwezi mmoja
Ikaanza Ku miss inazima fundi akasema ni gear box gear box imebadilishwa ukikanyaga mafuta haiifiki 100 inaishia 80
Mimechoka naombeni mnisaidie
Titizo litakua n nn
Mie nimetatuliwa tatizo kwenye gari yangu kwa kubadili pump na fuel return pipe.
But lazima ufanyiwe diagnosis.
Sasa nipo happy sana.
 
Back
Top Bottom