UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,399
- 1,014
Tafadhali wataalamu na wazoefu wa jukwaaa letu pendwa
1.Gari yangu ilianza kutoa moshi mwingi kama wingu kubwa na ilikuwa inaonyesha engine check baada ya hapo nikabadilisha oil s40 na baada ya kuchange oil ikawa haitoi tens moshi kabisa na ile taa ya check engine ikazima Ila baada ya halo nikawa nimesafiri mpaka sasa Niko safarini mwezi sasa hapa sijui tatizo ndo limeisha kabisa la kutoa moshi au laa coz nilienda kama km 10 tu baada ya change oil na nikawa sijaona moshi wala check engine na kulipack until today SASA USHAURI WOWOTE NAUPOKEA gari yangu in spacio new model 4WD .GARI SIJASAFIRI NAYO NIMEIPACK NYUMBANI ALMOST MIEZI MIWILI SASA ILA BAADA YA KUBADILI OIL MOSHI HAUKUTOKA NA TAA YA CHECK ENGINE ILIZIMA ILA BAADA YA KUTEMBEA KLMETA 40 IKAWAKA NA MOSHI UKARUDI MWEUPE
2. Naomba kufahamu nikirudi mambo ya kufanya baada ya kurudi safarini baada ya kuiacha gari kwa zaidi ya miezi miwili na kwa kuwa nilipoiacha pana vumbi na mvua mvua hizi najua gari itakuwa imechafuka sana na nitumie sabuni gari nzuri ya kuoshea gari yangu irudi usafi na mngao nmzuri kutokana na mavumbi ya muda. Je, nioshee nini taa za gari zingaeee.
3.Je ni sahihi kumwaga oil ya gia box yote au in vyema kuongezea na ipi in sahihi kuweka sijawahi badili tangu miaka mitatu niliyonunua na je inatakiwa kubadilishwa baada ya km ngapi ?
Nawasilisha .
1.Gari yangu ilianza kutoa moshi mwingi kama wingu kubwa na ilikuwa inaonyesha engine check baada ya hapo nikabadilisha oil s40 na baada ya kuchange oil ikawa haitoi tens moshi kabisa na ile taa ya check engine ikazima Ila baada ya halo nikawa nimesafiri mpaka sasa Niko safarini mwezi sasa hapa sijui tatizo ndo limeisha kabisa la kutoa moshi au laa coz nilienda kama km 10 tu baada ya change oil na nikawa sijaona moshi wala check engine na kulipack until today SASA USHAURI WOWOTE NAUPOKEA gari yangu in spacio new model 4WD .GARI SIJASAFIRI NAYO NIMEIPACK NYUMBANI ALMOST MIEZI MIWILI SASA ILA BAADA YA KUBADILI OIL MOSHI HAUKUTOKA NA TAA YA CHECK ENGINE ILIZIMA ILA BAADA YA KUTEMBEA KLMETA 40 IKAWAKA NA MOSHI UKARUDI MWEUPE
2. Naomba kufahamu nikirudi mambo ya kufanya baada ya kurudi safarini baada ya kuiacha gari kwa zaidi ya miezi miwili na kwa kuwa nilipoiacha pana vumbi na mvua mvua hizi najua gari itakuwa imechafuka sana na nitumie sabuni gari nzuri ya kuoshea gari yangu irudi usafi na mngao nmzuri kutokana na mavumbi ya muda. Je, nioshee nini taa za gari zingaeee.
3.Je ni sahihi kumwaga oil ya gia box yote au in vyema kuongezea na ipi in sahihi kuweka sijawahi badili tangu miaka mitatu niliyonunua na je inatakiwa kubadilishwa baada ya km ngapi ?
Nawasilisha .