Gari yangu nikiwasha AC inakuwa nzito

Decibel

Senior Member
Joined
Nov 30, 2019
Posts
172
Reaction score
316
Habarini wakuu!

Niende moja kwa moja kwenye mada, ipo hivi;

Gari yangu nikiwasha AC inakuwa nzito kidogo tofauti na ilipokua sijawasha, yaan kama vile kuna mzigo nimebeba.

Nimeshindwa kujua sababu mimi sio mzoefu wa magari ni gari yangu ya kwanza. Swali ni je , gari yangu tu au huwa na gari zingine inakuwa hivyo. Asanteni na karibu pia.
 
Japo sijajua unazungumzia kuwa nzito kivipi ...ila compressor ikiwaka ata mzunguko wa engine unaongezeka japo wataalam watakuja kukupa info mwa ujazo zaidi
Nzito tu yan kama unavuta kitu vile, mfano hata ikiwa umepak ipo kwenye silence ile silencer inapungua kdogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…