kindoki
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 213
- 218
Natumia gari langu dogo Toyota rav4 lakin limeanza kula mafuta vibaya, naitaji ushauri wa kiufundi kwani nalipenda sana gari langu, nicheze na mfumo gani ili iwe inakula vizuri, gari lenyewe lina CC1998, mwanzoni lilikuwa na racial ya 1LTR for 8 KM.
Nahitaji msaada kwa mtu mwenye experience na hizi gari.
Nahitaji msaada kwa mtu mwenye experience na hizi gari.