Nina fundi wangu ningekupa anachomeka laptop tu mambo shwariNatumia gari langu dogo Toyota rav4j lakin limeanza kula mafuta vibaya, naitaji ushauri wa kiufundi kwani nalipenda sana gari langu, nicheze na mfumo gani ili iwe inakula vzr, gari lenyewe lina CC1998, mwanzoni lilikuwa na racial ya 1LTR for 8km, naitaji msaada kwa mtu mwenye experience na iz gari
Cheki ingine kuna kitu hakiko sawa ukafanye comprehensive service.Ugonjwa huu umekuwa ukiniumiza sana kiuchumi, gari ina cc1998, yaani ulaji wake cio wa kawaida, nifanyaje kwa wenye uzoefu na rav4
Ipeleke kwenye maombi mkuu.Ugonjwa huu umekuwa ukiniumiza sana kiuchumi, gari ina cc1998, yaani ulaji wake cio wa kawaida, nifanyaje kwa wenye uzoefu na rav4
Duh au tank limetoboka?Nikiweka Lita 20 zinaisha kwa kutembelea km 30 tu
Duh hatari,Nikiweka Lita 20 zinaisha kwa kutembelea km 30 tu
Hiyo imeua injini mswaki umetanuka kwenye mitwangioNikiweka Lita 20 zinaisha kwa kutembelea km 30 tu
Kama umesema ni Lita 20(na siyo ya Tsh 20,000) kwa uchache hata kama gari ile vipi lazima kilometa 150 utoboe. Kwa mfano Brevis inakula mafuta kuliko Mark X,Verossa,Mark Grande,lakini kilometa 140 kwa lita hizo 20 unafika.Nikiweka Lita 20 zinaisha kwa kutembelea km 30 tu
[emoji15][emoji15]mkuu itabidi utafutie ufumbuzi ASAP!! Hii imepitilizaNikiweka Lita 20 zinaisha kwa kutembelea km 30 tu