peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Hii gari ni ya serikali! Ni la idara Gani au wizara Gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapo waendesha magari ya serikali na binafsi wanywa pombe,Hii gari ni ya serikali! Ni la idara Gani au wizara Gani?
Nani kakuambia amelewa, Una cheti cha Daktari kuthibitisha, What if ni Fitina ametiliwa dawa za Kulevya akawa katika hali hiyo? Tusipende kuhukumu Duniani kuna mengi. Hata mwamba akikosa mimi na wewe hatupewa huo mchongo. All in all kama amelewa mwamba kazingua sanaHii gari ni ya serikali! Ni la idara Gani au wizara Gani?
Kidumu Chama cha mapinduzi!Nani kakuambia amelewa, Una cheti cha Daktari kuthibitisha, What if ni Fitina ametiliwa dawa za Kulevya akawa katika hali hiyo? Tusipende kuhukumu Duniani kuna mengi. Hata mwamba akikosa mimi na wewe hatupewa huo mchongo. All in all kama amelewa mwamba kazingua sana