Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,666
- 12,178
Mimi ni mpenzi wa music na movie kwa sana, kinachonishangaza ni kote huko ktk matumizi ya magari sijawahi ona kampuni ya toyota.. mara nyingi ni ferari, audi, bmw, range, bentley na kama mandhari ni ya porini huko nako utakutana na land rover flani matata, je, toyota hazina ubora au kuna siri gani hapo.
cc mshana jr RRONDO na wengineo
cc mshana jr RRONDO na wengineo