Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Teh nlijua tu dizaini yako hamkosekani, mi sijampamba nimemsifia serious, anajibiwa kejeli lakini mwenyewe karelax hiyo ndio lugha ya biashara....Evelyn 'Chumvi' endelea tu kumpamba mshkaji haonagi shida kukugawia gari huyu jamaa!We subiri tu utapokea muujiza wako soon!
Model ya kwenye 1980?Km 120000 ipo dar sinza
Engine Vvti
Model ya 1980
Kuna bwana mmoja hivi, Munawar kama sikosei...Nmekupenda bure hauna jazba kwenye biashara zako unajua kuongea vizuri na wateja na sisi tusio wateja, hongera.
Huyo jamaa huwa namsikia tu habari zake ngoja leo nimsearchKuna bwana mmoja hivi, Munawar kama sikosei...
Jamaa ni awamu ya tano haswa!
Utafurahi na roho yakoHuyo jamaa huwa namsikia tu habari zake ngoja leo nimsearch
mwehu wwCarina gari za zamani sana..imepitwa na wakati, siku hizi zinanunuliwa na wasukuma tuu[emoji15]
5.5 haipendezi
Weka namba ya simu basi
Why 9m only?