Car4Sale Gari zuri Toyota Crown namba D inauzwa

Leo mchana nikiwa mitaa ya uzunguni Arusha nimepishana na huyu mnyama na kwa sababu ya mahaba mazito ilibidi niwashe full lights Kama salamu kwa dereva ambaye hata simfahamu kwa kweli kwenye hesabu yangu mwakani itabidi nifanye yangu... Toyota crown 🔥🔥🔥
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…