Garissa County Refferal Hospital

Mpendwa1

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2013
Posts
568
Reaction score
387
Together with CEC for Health Ms. Hubbie Hussein commissioned a new resource centre at the Garissa County referral hospital. The new facility has got a back room computers for the telemedicine.











 
Hongera zao, MAANA hao walisahaulika muda mrefu, utafikiri hawako kwenye republicof Kenya.
 
Hongera zao, MAANA hao walisahaulika muda mrefu, utafikiri hawako kwenye republicof Kenya.

Hiyo ni katiba ya ugatuzi inayofanya kazi....imesaidia sana kaunti kadha wa kadha.
 
Hongera zao, MAANA hao walisahaulika muda mrefu, utafikiri hawako kwenye republicof Kenya.

Vipi kwenu mikoa ya Kusini, mumeanza kufanya wahisi kama wapo Tanzania au bado mumewakaushia. Maana gesi iliwapa matumaini makubwa lakini sijui kama wanafaidi.
 
Vipi kwenu mikoa ya Kusini, mumeanza kufanya wahisi kama wapo Tanzania au bado mumewakaushia. Maana gesi iliwapa matumaini makubwa lakini sijui kama wanafaidi.

Nenda kawahi fursa, MAANA mikoa imefunguka, barabara za kisasa zimefika huko. Siku hizi Dar Mtwara mpaka Lindi wala huwazi, mpaka bus la saa sita mchana unalipata. Siku hizi Dar SONGEA hupitii NYANDA za juu Iringa na Njombe, unapita Mtwara Masasi Lindi Namtumbo mpaka SONGEA. Ni fupi pia haina milima. Sijui lkn kama unajua pande hizo.
 
na juzi daraja la Kilombero limefunguliwa hii ina maana kwenda Songea njia inakuwa fupi zaidi! Ni ujuha wa hali ya juu kujaribu kufananisha mikoa ya kusini na mikoa ya Kaskazini ya Kenya!
 
Isaidie pia Northern West of Kenya.
Yep! umenena hapo kweli. Magavana sasa wana kibarua cha kuendeleza kaunti zao. Nlisikia jana kwenye taarifa kwamba serikali kuu inataka kuongeza budget za kaunti. Itakuwa vyema mradi magavana waende kazi sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…