DZUDZUKU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 3,909
- 2,115
Salaam.
Naombeni msaada kwa anaye fahamu, Mimi ninatatizo la nyayo kuwaka Moto, ila juzi juzi nimepaka kitunguu swaumu miguuni Na matokeo yake Ni kwamba; MAUMIVU YALIYOKUWA KWENYE UNYAYO MZIMA, YAMEKUSANYWA KATIKATI YA UNYAYO PEKE YAKE.
Swali langu, je ni kweli kitunguu swaumu kinaweza kutibu tatizo langu?
Na nifanye nini zaidi ili maumivu yakome kabisa?
NB. Nilipaka kitunguu swaumu ili kutibu mafua.
Naombeni msaada kwa anaye fahamu, Mimi ninatatizo la nyayo kuwaka Moto, ila juzi juzi nimepaka kitunguu swaumu miguuni Na matokeo yake Ni kwamba; MAUMIVU YALIYOKUWA KWENYE UNYAYO MZIMA, YAMEKUSANYWA KATIKATI YA UNYAYO PEKE YAKE.
Swali langu, je ni kweli kitunguu swaumu kinaweza kutibu tatizo langu?
Na nifanye nini zaidi ili maumivu yakome kabisa?
NB. Nilipaka kitunguu swaumu ili kutibu mafua.