Garlic: Msaada wa matumizi sahihi ya kitunguu swaumu katika kutibu miguu

DZUDZUKU

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2012
Posts
3,909
Reaction score
2,115
Salaam.

Naombeni msaada kwa anaye fahamu, Mimi ninatatizo la nyayo kuwaka Moto, ila juzi juzi nimepaka kitunguu swaumu miguuni Na matokeo yake Ni kwamba; MAUMIVU YALIYOKUWA KWENYE UNYAYO MZIMA, YAMEKUSANYWA KATIKATI YA UNYAYO PEKE YAKE.

Swali langu, je ni kweli kitunguu swaumu kinaweza kutibu tatizo langu?

Na nifanye nini zaidi ili maumivu yakome kabisa?

NB. Nilipaka kitunguu swaumu ili kutibu mafua.
 
Kitunguu Saumu hakiwezi kutibu peke yake hayo matatizo yako ya nyayo kuwaka moto umejitahidi lakini bado hujakamilisha dawa kamili.
Ukiwa na Shida yoyote ile

Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
 
Kitunguu Saumu hakiwezi kutibu peke yake hayo matatizo yako ya nyayo kuwaka moto umejitahidi lakini bado hujakamilisha dawa kamili. Ukihitaji dawa nitafute kwa wakati wako kwa kubonyeza hapa.Mawasiliano

Asante mkuu
 
muwe mnarudisha feedback ili na sisi tujue tiba ilipo
 
Nina mazoea ya kuamka kila siku Asubuhi na kupata juisi ya limao glasi moja kabla ya hata kupiga mswaki...

Sasa hivi nataka nimeze chembe za vitunguu swaumu huku nasukumizia na juisi ya Maji, je kuta kuwa na madhala hapo.....????

¢¢ Mzizi. Kavu
 
Kwa kupata juisi ya limau unachanganya na maji ya Uvuguvugu juisi ya limau ni (alkaline) itakusaidia kuondowa sumu mbaya mwilini mwako aka Detoxic na pia kukupunguza mwili au kitambi au mafuta mwilini mwako. Na Ukila chembe 2 za kitunguu saumu pamoja na juisi ya limau utakuwa umefunga kazi hapo hupatwi na amradhi yoyote mwilini mwako ni kinga tosha dhidi ya maradhi. Na Wakati wa usiku kula chembe 2 za kitunguu saumu fanya hivyo kila siku mafua,malaria,Saratani na maradhi mengine mabaya utayasikia Redioni wewe hutoumwa tena.

 
Ahsante Mkuu nimekuelewa sana, Mungu akubaliki.....!!!
 
Kama hakuna malimao utasukumizia nini vituu saumu? Halafu inaposemwa kipande cha kitunguu huwa ina maana ya ile punje nzima unayoikuta haijamenywa au unamaanisha ni kipande kilichokatwa kutoka kwenye punje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…