Gas kg 15 kutoka 45,000 hadi 55,000 hadi 70,000

Haya yote wanayajua, na pengine TOL (wanaotuuzia shares hapo DSE) wana uwezo huo. Lakini mazingira haya ya umeme kupanda, gesi kupanda, mishahara kutoka na migomo hapa na pale ni dalili kuwa pesa ya Dowans inatafutwa kulipa deni.
 

Mbona mtendaji wa EWURA alishakiri kushindwa kudhibiti bei ya gesi kisa iko kwenye soko la dunia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…