Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Umekosea kidogo mkuu;mangaribi ya leo, sisi sote tumo ndani.......
tunacheza kabila yote......
tunacheza leo mpaka kesho......
naimba tu ingawa sina uhakika kama nimepatia hayo maneno.
thanks mkuu, si unajua ni kitambo kidogo sijasikiliza!Umekosea kidogo mkuu;
Mangaribi ya leo,sisi sote kumuchezo
Tutacheza paka keshoo
Tunaita kabila yote,tunatoka mbali fwashi yote,tutacheza mpaka keshooo
tena show zenyewe akimaliza hizo tatu za tz, anapiga moja nairobi na nyingine kampala baada ya hapo maisha murua kabisa.Huyu Ruge akiandaa show zake tatu tu Dar, Arusha na Mwanza amemaliza kazi kwanini afulie kiasi hicho?
ngoma ya kwetu,magharibi ya leo,michezo ya kwetu magharibi ya leo ....mangaribi ya leo sisi sote tuimbie tuende kuchezaaaa,tunaita kabila yote tunatuma habari kwa watu wote...wageni wakuje kwetuuu,usiogope hata kidogo haiko ngoma ya kilio,tunafurahi duniani,,wanawake wote waimbe wanaume wapige kinanda leo njoo leo,wazee walisemaga kama ukingali na meno vunja mifupaaaa,tikisa mikono na miguuu×2kisha mwili yako yoooote,,,Umekosea kidogo mkuu;
Mangaribi ya leo,sisi sote kumuchezo
Tutacheza paka keshoo
Tunaita kabila yote,tunatoka mbali fwashi yote,tutacheza mpaka keshooo
Ngoma ya kwetu,ngomaaangoma ya kwetu,magharibi ya leo,michezo ya kwetu magharibi ya leo ....mangaribi ya leo sisi sote tuimbie tuende kuchezaaaa,tunaita kabila yote tunatuma habari kwa watu wote...wageni wakuje kwetuuu,usiogope hata kidogo haiko ngoma ya kilio,tunafurahi duniani,,wanawake wote waimbe wanaume wapige kinanda leo njoo leo,wazee walisemaga kama ukingali na meno vunja mifupaaaa,tikisa mikono na miguuu×2kisha mwili yako yoooote,,,
Hebu iweke tushee woteNgoma ya kwetu,ngomaaa
Michezo ya kwetu
Mkuu ninayo kwenye pc hapa naisikilizia Azalaki se Awa
anaishi mabibo external , hata judi nilikuwa naye kwa Juddy bar anakunywa pilsner aka UKAWAHuyu kijana Congo alivuma mno ukanda huu wa dunia kuanzia mwanzoni mwa miaka ya 1990 kabla ya kupotea ghafla katikati ya miaka ya 90. Hivi bado yupo hai, yupo wapi na anafanya nini?View attachment 371999
Seaawaaaaaaaa...bolinga bolinga naeemzewe wa azalaki seawa
....wazee walosemaga kama usingali maneno vunja mifupaaa aaah, tikisa mikono na miguu tikisa mikono na miguuu.....mangaribi ya leo, sisi sote tumo ndani.......
tunacheza kabila yote......
tunacheza leo mpaka kesho......
naimba tu ingawa sina uhakika kama nimepatia hayo maneno.
Huyu kijana Congo alivuma mno ukanda huu wa dunia kuanzia mwanzoni mwa miaka ya 1990 kabla ya kupotea ghafla katikati ya miaka ya 90. Hivi bado yupo hai, yupo wapi na anafanya nini?View attachment 371999
ngoma ya kwetumangaribi ya leo, sisi sote tumo ndani.......
tunacheza kabila yote......
tunacheza leo mpaka kesho......
naimba tu ingawa sina uhakika kama nimepatia hayo maneno.
huyu jamaa nasikia alikamatwa na drugs akafungwa miaka mingi na career yake ndio ikaishia hapoHuyu kijana Congo alivuma mno ukanda huu wa dunia kuanzia mwanzoni mwa miaka ya 1990 kabla ya kupotea ghafla katikati ya miaka ya 90. Hivi bado yupo hai, yupo wapi na anafanya nini?View attachment 371999
dah nakumbuka enzi za kuoga mapema siku tunapika wali maharage afu tunaiweka hiyo kanda kwenye zile redio kaseti za zamani hahaaa raha sana mkuuNgoma ya kwetu,ngomaaa
Michezo ya kwetu
Mkuu ninayo kwenye pc hapa naisikilizia Azalaki se Awa
Kumbe jiran yanguanaishi mabibo external , hata judi nilikuwa naye kwa Juddy bar anakunywa pilsner aka UKAWA