Gatho Beevans: Mkongwe wa Muziki nchini Congo

nakumbuka azalaki awa,,,jamaa alikuwa fundi sema unga mbaya sana na ndo uliompoteza
 
Nimemkumbuka huyu jamaa, alikuwa na nyimbo Kali kama azalaki seawa na ngoma ya kwetu
 
nilimpenda sana Gatho na nilifuatilia habari zake kwa karibu, nakumbuka habari ya mwisho kumhusu yeye na ya kusikitisha ni kukamatwa kwake nchini Ufaransa na madawa ya kulevya ndani ya ,gitaa akahukumiwa kifungo kirefu
Azalaki awa niliupenda sana aisee
 
o lake kubwa lilikuwa ni lilelile kama la Emeneya, Yondo Sister, Mayoni Mayaula, Defao

Defao na Emeneya hawa kuungaunga walikuwa na bendi zao.
Defao - Les Big Stars
King Kester Emeneya - Victoria Eleison ‘ the dream team ‘
 
kumbe ndo huyu jamaa??Naona tuu mzee anazo kanda zake za kitambo sanaaa..
 
Ni kweli. Ila Wanamuziki wao hawakuwa ni wale Official wako naye. Hata ukiangalia majina ya Wanamuziki wa Michael Jackson na Lionel Ritchie walikuwa almost walewale. Na sometimes walitokea hata kwa Madonna.

KWa mfano Defao, siku zote anaimba na MONTANA Kemenga, ametokea na Wanamuziki mbalimbali na kuna kipindi kirefu akawa na Koffi Olomide ila ikitokea Show ya Defao unamuona tena yupo huko.
Maana yangu ilikuwa kwamba pamoja na kuwa na Band zao, ila hawana Wanamuziki ambao 24/7 wanaweza kutambulishwa kama Wanamuziki wa Defao. Enemeneya sintamuandika na niseme RIP Emeneya.

Defao na Emeneya hawa kuungaunga walikuwa na bendi zao.
Defao - Les Big Stars
King Kester Emeneya - Victoria Eleison ‘ the dream team ‘
 
Hakika Kale ni dhahabu.!

Muda si mrefu nimetoka kutazama
na kusikiliza kwa mara ya kwanza kibao maridhawa kabisa cha "azalaki awa" kupitia dira tv.

Nimegoogle kutaka kujua zaidi, naambiwa hili pishi lilipikwa kabla hata sijazaliwa ila bado ni tamu kama limepikwa leo.

Thumbs up to Gatho Beevans kwa zawadi murua Kabisaa katika industry ya entertainment.

It's millennial truck.
 
Mkuu AZALAKI HAWA sijaiona hapo,ila huyu jamaa now ni pastor huko georgia
 
Daaaggh Gatho alitikisa sana" kwenye vyombo vya habari" katika upande wa burudani'''.... hakika mimi ni moja ya shabiki yake mkubwa " napenda kazi zake sana",.. nakumbuka nilikuwa mdogo sana enzi zake alipokuwa ana tamba" lakini mpaka leo akili yangu haijapoteza kumbukumbu ya video zake".... kuna video moja sikumbuki ni ya wimbo gani''' ali act anatolewa maini" huku anaimba"" kitambo sana Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…