Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
Huyu jamaaa anakipaji cha aina yake! Ile kanzu enzi zangu ningelamba red card
Wewe unakurupuka kama mwanariadha wa mita mia. hebu Onyesha mahali nilipomtaja Mungu... Kisha kwa taarifa yako wewe unayependa kukurupuka ukae ukijuwa kuwa maandiko yanasema Mungu yuko mahali kote. Sasa wewe unayejitia kumjua sana ukae na kulijuwa hili.
DINHO hata akiitwa saivi hana haja ya kwenda Cz Jamaa kamkosea Heshima
Ila DUNGA katukosesha Burudani hata PATO jamani?