Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Safi waliomuibia,ushenzi tu unavaa gauni la 300m wakati kwenu kenya familia yenu inashindia mabumunda na ndizi bokoboko?
Nope keshakuwa initiated kwenye sisterhood ya illuminati, ni new comer so wanaka treat kama kama princess, akija mwingine wakishafanya zile gay and blood ritual zao yeye atakuwa keshapanda daraja
Mbona umekurupuka hvyo? Toa maelezo zaidi.
Kwani hilo gauni lipo so special kwenye kitu gani? Mbona watu wengi huwa wanaibiwaga magauni? Au kwa sababu ni la lupita?
Aliibiwaje? Alikuwa akitembea akavuliwa? What happened and what makes it so special?
Toa maelezo zaidi kwenye thread yako..
My dear,mwizi alieliiba hilo gauni alidhania hivi,kwa kua wametangaza hilo gauni limetengenezwa kwa vipande vya madini aina ya pearl au lulu,na thamani yake imetajwa.kua ni dola laki na nusu,akajua umaskini bai bai.jamaa kaliiba akatoa baadhi ya vipande vya lulu kwenda kutest kuviuza.wanunuzi wakamwambia kua ile lulu ni feki ndio kwa hasira akalirudisha na kuwapigia simu polisi kuwaambia kua mgauni ule ni feki na hauna madini yenye thamani hiyo bali ni geresha tu.(nilijua ni wasanii wa bongo tu ndio wanaongezaga bei ya vitu ili waonekaane wa hali ya juu bila mpango kumbe hadi mbele mbele pia wana hako kamchezo doooh)
Du aibu kweli dress yenyewe ina lulu za feki, sijui Calvin C watasemaje
cha kupewa si chakuiba gauni kapea bure na kelvin clein atangaze biashara yao angekataaSafi waliomuibia,ushenzi tu unavaa gauni la 300m wakati kwenu kenya familia yenu inashindia mabumunda na ndizi bokoboko?