ngoja uje uambiwe rose umekuja kujimwambafy
Tuliosoma Cuba tumeshajua ulichomaanishangoja uje uambiwe rose umekuja kujimwambafy
Acha kabisa huyo mazeri ni viwango aiseeNje ya mada Christina Shusho ni pisi kali tuache utani
Yupo bienWatu bana sijui kwa nini wanakuwa na secret ajenda kila pale Rose anaposhine. Kazi kumwekea chuki tuu kila kukicha hapo zamani kidogo walimletea chuki baada ya kushinda tuzo ya kili, sasa wanaleta chuki juu ya gauni lake wakitoa sababu za ajabu. Eti gauni lina kola ya kiFremason, etii oooh gauni material ya satin, mara ooooh kubwa sana.
Come on.. People lile gauni kalitendea wema sana dada yetu. Kwanza tu ile rangi yake ya light green ina maana kubwa sana. Ile rangi inaashiria mwanzo mpya, inaashiria amani, Ina ashiria afya. Mumuache arelaxy sasa.
Kumbe wake wa wachungaji hawazai??Ooi vungaa mama mchungaji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ngoja uje uambiwe rose umekuja kujimwambafy
Hilo linajulikana, sema lingine kumuhusu ambalo tungependa kujua.Nje ya mada Christina Shusho ni pisi kali tuache utani
Kwa gauni hili wallah aweza kuwa askari wa mwavuli na akaruka kwenye helikopta futi 1000 mpaka chini bila kuvaa parachute maana gauni ni parachute toshaWatu bana sijui kwa nini wanakuwa na secret ajenda kila pale Rose anaposhine. Kazi kumwekea chuki tuu kila kukicha hapo zamani kidogo walimletea chuki baada ya kushinda tuzo ya kili, sasa wanaleta chuki juu ya gauni lake wakitoa sababu za ajabu. Eti gauni lina kola ya kiFremason, etii oooh gauni material ya satin, mara ooooh kubwa sana.
Come on.. People lile gauni kalitendea wema sana dada yetu. Kwanza tu ile rangi yake ya light green ina maana kubwa sana. Ile rangi inaashiria mwanzo mpya, inaashiria amani, Ina ashiria afya. Mumuache arelaxy Bwana anamfariji.
Kila mtu aseme lakeHilo linajulikana, sema lingine kumuhusu ambalo tungependa kujua.