Gavana fisadi akataliwa ombi lake la kurejesha hela kama wanavyofanya majirani

Gavana fisadi akataliwa ombi lake la kurejesha hela kama wanavyofanya majirani

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Kule Tz mkulu wao aliamrisha watu wote wenye kesi za ufisadi warejeshe hela basi kesi zao zifutwe, kunao mmoja aliyekua anawapiga Watanzania shilingi milioni saba kwa kila dakika, naona naye hivyo hivyo anakwenda nyumbani.
Hapa kitu kama hicho kimekataliwa, gavana wa Kiambu amejaribu kumfuata rais lakini kapewa mgongo, abebe msalaba wake mwenyewe, huku tunafuata utawala wa katiba, mihimili haiingiliani, rais hana uwezo huo wa kuamrisha mahakama eti waache kumfuata gavana, ataliwa tu ili iwe fundisho kwa wengine, kunao mawaziri na makatibu tayari waliachishwa kazi na wameburuzwa mahakamani.
Hadi raha, hmna kitu kitamu kama kuwa na katiba nzuri. Taratibu tutafika, mwanzo mgumu ila kule mbele ya safari patakua patamu.

 
IMG_20191018_075151.jpg
 
Tanzania katiba inaruhusu Rais na mahakama kutengua hukumu, sio Tanzania tu ni nchi nyingi

Sasa mkishamtia hatiani na kumuhukumu miaka 40 jela mnakua ndio mmefanya nini?
Familia yake inaendelea kuzitafuna pesa zote maisha yao yote.

Huku unarudisha pesa yote, inapigwa fine ndio utoke, kuna mmoja alishtakiwa kwa makosa ya uhujumu uchumi kwa kukamatwa na madini mengi Airport bila kibali (ni raia wa kigeni) kakiri kosa madini yametaifishwa yote na kapigwa fine ya millions of dollars.

That's it
 
Tanzania katiba inaruhusu Rais na mahakama kutengua hukumu, sio Tanzania tu ni nchi nyingi

Sasa mkishamtia hatiani na kumuhukumu miaka 40 jela mnakua ndio mmefanya nini?
Familia yake inaendelea kuzitafuna pesa zote maisha yao yote.

Huku unarudisha pesa yote, inapigwa fine ndio utoke, kuna mmoja alishtakiwa kwa makosa ya uhujumu uchumi kwa kukamatwa na madini mengi Airport bila kibali (ni raia wa kigeni) kakiri kosa madini yametaifishwa yote na kapigwa fine ya millions of dollars.

That's it
Actually once found guilty the money is recovered by government taking over all your properties local and foreign and bank accounts. 12 billion shillings has been recovered by eacc in this manner.
 
Actually once found guilty the money is recovered by government taking over all your properties local and foreign and bank accounts. 12 billion shillings has been recovered by eacc in this manner.
Sio wezi wote wameweka mali zao kwa majina yao, wengi wa mafisadi wapo smart more than you think on manoeuvring validations of their wealth ownerships,
 
Sio wezi wote wameweka mali zao kwa majina yao, wengi wa mafisadi wapo smart more than you think on manoeuvring validations of their wealth ownerships,
That is why there is always an audit of family assets, even if you put assets in your wife's name question will be, how did she get the money, second how much has she paid in taxes and does it correlate with the assets owned, is her income history does not match the assets it shows red flags and the conclusion will be proceeds from corruption were channelled through her justifying repossesion of those assets.
 
Pole yake, bank account zake zote wamezi'freeze' pamoja na za mke wake, na binti yake pia. Mali ambazo anazo pia hawezi akazifanyia chochote hadi hukumu itakapotolewa. Yaani kwa ufupi kuna uwezekano kwamba atapoteza kila kitu. Sheria ndio itampokonya alichoiba na kisha imchukulie hatua, sio yeye arudishe kisha yaishe.
 
Sasa mbona hao wenu waneweka pesa nyumbani
Sio wezi wote wameweka mali zao kwa majina yao, wengi wa mafisadi wapo smart more than you think on manoeuvring validations of their wealth ownerships,
 
Duh!!hii cinema mbna tamu hv...pesa zinarudishwa ki hvo na eti wakati zilikua benki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwn serekali haina account, mbna raha hv jamani..
Yani jamaa katoa hela zote hzo benki ndio azilete apigwe picha wehu wafurahie na waendelee kuunga juhudi...
Mbna watanzia jamani hamfunguki macho..mko brainwashed sana walai
hizi pesa kwa akili yako zimetoka nyumbani? Huoni Exim Bank ribbons? View attachment 1237090
 
Duh!!hii cinema mbna tamu hv...pesa zinarudishwa ki hvo na eti wakati zilikua benki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwn serekali haina account, mbna raha hv jamani..
Yani jamaa katoa hela zote hzo benki ndio azilete apigwe picha wehu wafurahie na waendelee kuunga juhudi...
Mbna watanzia jamani hamfunguki macho..mko brainwashed sana walai
Kwani Tatizo lipo wapi kama pesa zimefika panapotakiwa kama inavyotakiwa? Kinachotakiwa ni pesa na pesa zimeletwa, kuna Tatizo?
 
Wajifanya hujakielewa nilichokiandika sio...sasawa[emoji1787]
Kwani Tatizo lipo wapi kama pesa zimefika panapotakiwa kama inavyotakiwa? Kinachotakiwa ni pesa na pesa zimeletwa, kuna Tatizo?
 
Wajifanya hujakielewa nilichokiandika sio...sasawa[emoji1787]
Wewe ndio hujielewi sababu unacomplain njia iliyotumika kuwasilisha pesa wakati haijalishi, sisi tunataka pesa zikaijenge Tanzania mpya ambayo mafisadi wameidhulumu kwa muda mrefu.
 
Santa sana..hyo sinema imetengenezwa kw ajili ya watu km nyie...
Wewe ndio hujielewi sababu unacomplain njia iliyotumika kuwasilisha pesa wakati haijalishi, sisi tunataka pesa zikaijenge Tanzania mpya ambayo mafisadi wameidhulumu kwa muda mrefu.
 
Akili kubwa mkuu umemaliza kila kitu......
Duh!!hii cinema mbna tamu hv...pesa zinarudishwa ki hvo na eti wakati zilikua benki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwn serekali haina account, mbna raha hv jamani..
Yani jamaa katoa hela zote hzo benki ndio azilete apigwe picha wehu wafurahie na waendelee kuunga juhudi...
Mbna watanzia jamani hamfunguki macho..mko brainwashed sana walai
 
Watakutukana...ngoja waje, naona utavuliwa mpka uraia
Nyinyi ndo nyani hamjielewi......hapo ni kiki imepatikana pesa zote hzo kwann zisiingizwe kwa hazina direct????

Mbona kwenye koroshow pesa hazikutolewa kama hivyo ilikuwa ni unaaingiziwa kwa acc tu?????
 
Back
Top Bottom