Gavana Mstaafu Mtei wa Chadema Ndio muasisi wa nchi kukopa kwenye Taasisi za Mabepari tukizubaa tutajikuta kama Kenya!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nakumbuka Mwalimu Nyerere hakutaka kabisa kukopa kwa Mabwanyenye ila Gavana mstaafu Mtei akawa miongoni mwa washawishi wakubwa wa kutaka nchi ikope Ubeberuni

Naambiwa ubao unasoma 100

Ahsanteni sana πŸ˜„πŸ”₯🐼
 
Nakumbuka Mwalimu Nyerere hakutaka kabisa kukopa kwa Mabwanyenye ila Gavana mstaafu Mtei akawa miongoni mwa washawishi wakubwa wa kutaka nchi ikope Ubeberuni

Naambiwa ubao unasoma 100

Ahsanteni sana πŸ˜„πŸ”₯🐼
Kila ukiwashwa lazima uitaje Chadema. Hizi pombe za mafungu unazofakamia bila kula zinakutoa ufahamu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…