Gavana ndulu no more excuses inabidi ujiuzulu.

Gavana ndulu no more excuses inabidi ujiuzulu.

politiki

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2010
Posts
2,376
Reaction score
1,508
Gavana ndulu inabidi ajiuzuru kwa kulitia taifa letu hasara ya mabilioni ya shillingi. alipokuwa akitoa sababu za kubadilisha pesa alisema pesa zilizopo inabidi zibadilishwe kwa kuwa hazina ubora na pili zinagushika kirahisi kwahiyo serikali imepata mbia atayetengeneza noti zingine zitakazokuwa na ubora wa hali ya juu na pia itakuwa vigumu kughushika. kulingana na taarifa mbalimbali kutoka kwa wananchi noti hizi mpya za kaniki ni rahisi kughushika kuliko za zamani na hazina ubora wowote kwani ukiziangalia zingine mirangi inachujika haraka na kuwa kama imepigwa pasi. kwa kuwa sababu alizozitoa za kubadilisha pesa zimekuwa ni kiini macho gavana inabidi aachie ngazi kwani ushauri wake umeliingiza taifa hasara kubwa za kubadili noti na pia kusababisha hasara kubwa kwa wafanyabiashara ambao tumekuwa tukipokea noti feki kwa wingi kila kunapokucha kuliko hapo zamani. umezipika mbiu wewe mwenyewe inabidi uzitafune na siyo kuwaachia wengine watafune kwa excuse zako za ajabu ajabu kwani tunachoangalia hapa siyo issue ya noti kughushiwa tu bali ni wingi wa noti kughushiwa kwani umeifanya kazi yao kuwa rahisi zaidi kuliko hapo mwanzo.
 
sito shangaa nikija sikia walikuwa wameishiwa hela kabisa na amna pa kutokea ndio sababu ya kuchapisha. No wonder inflation is beyond control in Tanzania.

Hila nakubalina na wewe kwamba hili bozo na mwenzie waziri Mkullo wafukuzwe sijui kwanini wengine hawa waoni kama hawa jamaa vilaza, ooh utaambiwa wameandika mapepa yenye credentials so what, they're just useless employees and they cost the nation dearly.
 
Nahuyu mzee hata sioni any positive impact yoyote kwetu!
 
naomba kuuliza put epa aside hv kipindi cha balali hela feki na inflation ilikuwa kiasi hiki
 
naomba kuuliza put epa aside hv kipindi cha balali hela feki na inflation ilikuwa kiasi hiki

inflation i beleive was arround 8% ukiondoa inflation inayosababishwa na chakula na pia swala kuhusu swala la hela feki lilikuwepo lakini in a very low magnitude siyo kama sasa ambapo mtu hunaiyangalia noti mara kumi kumi.
 
Kwenye maandamano ya kanda ya Kusini Tuandike Mabango.

NOTI feki zinatufilisi, Gavana jiuzulu. Pia Viongozi wa CHADEMA watoe TAMKo
 
Back
Top Bottom