Gavana Obado nje kwa dhamana. Awekewa zuio la kutoka nje ya Kaunti ya Migori

Gavana Obado nje kwa dhamana. Awekewa zuio la kutoka nje ya Kaunti ya Migori

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411
obado.jpg

Gavana wa Migori, Okoth Obado ameachiwa kwa dhamana ya Mahakama. Dhamana ya Obado imehusisha kiasi cha Shilingi Milioni 5 za Kenya.

Obado anakuwa nje kwa dhamana ikiwa akaa mahabusu kwa muda wa mwezi mmoja

Sharti jingine la dhamana yake ni kutoruhusiwa kutoka nje ya County ya Migori na Mahakama inamamlaka ya kusitisha dhamana yake muda wowote

Obado anatuhumiwa kumuua Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Rongo, Sharon Otieno mnamo Septemba 24

Jaji wa Kesi hiyo amemuonya Obado kutowasiliana na ndugu na watu wa karibu wa Marehemu

Jumla ya Mashahidi 30 wanatarajiwa kuhusika katika kesi hii kubwa nchini Kenya


=======

Migori Governor Okoth Obado has been freed on a Ksh. 5million bail after spending almost a month in remand prison. He is also expected to pay two sureties of a similar amount and avoid going anywhere near the murder scene.

“The accused shall not go 20km out of Migori County and the court has the liberty to cancel your bail at any time,” Justice Jessie Lessit warned. She further directed that Obado should not skip any court session as his bail could be revoked at any time.

The Migori Governor was charged over the murder of Rongo University student Sharon Otieno on September 24.

On Wednesday, Lady Justice Lessit further warned Obado against communicating with the parents, siblings or rather any close relative of the deceased.

“The accused will refrain from contacting or intimidating whether directly or by proxy witnesses in this case,” she said, adding that he should not discuss the case in a political meeting or private gathering.

The Prosecution stated that they would be calling 30 witnesses in the case. The High Court judge further directed Obado to deposit travel documents and be reporting to the deputy registrar once a month.

The pre-trial hearing has been set for February 14, 2019. The hearing will then commence on May 6-17 the same year excluding Saturdays and Sundays.

His co-accused Michael Oyamo and Caspal Obiero were however denied bail. Justice Lessit however said they have the right of appeal for bail or bond.
Earlier on Wednesday morning, supporters of Obado were locked out of the court compound.

Source: Citizens
 
Back
Top Bottom