MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Hawa viongozi wangekua wanafanya kazi kwa bidii ambayo tumeona kwa siku za hivi karibuni wakati uchaguzi unajongelea, nchi yetu ingekua imepiga hatua sana. Ushindani uliopo Kenya ni wa hali ya juu na kila kiongozi anatimka kwa kasi.
Hongera gavana wa Kiambu kwa kuzindua hii hospitali, wapigaji kura wa gatuzi yako natumai watakua na sababu za kutafakari upya.
Sisi na Nairobi yetu tuna mtihani maana hadi sasa sijashawishika nani anatufaa, kila nikiangalia chaguo zilizopo nakata tamaa. Kidero ametutafuna kwa ufisadi lakini hata hawa wanaojinadi yaani kufikia sasa hakuna aliyenipa hamasa ipasavyo.
------------------------------------------------------------------------
A section of children wing in the Thika Level 5 reproductive hospital unit. Photo/COURTESY
Kabogo said the facility will provide maternity services to women from neighbouring counties, including Murang’a, Machakos, Kitui, Kajiado and Nairobi.
He added that the unit is also the cheapest of its kind in the region in terms of cost of construction.
"In the past, a project of this kind would use over Sh2 billion and the work would still not be complete but for this project to be completed we will use a total of Sh800 million and Kiambu county residents will get the value of their money,” said Kabogo
The facility has been constructed in two years and will partner with the University of Toledo in the provision of renal services.
This comes a day after the governor shared a podium with President Uhuru and DP William Ruto in the presence of his arch rival Kabete MP Ferdinand Waititu.
Read: Crowds cheer as Kabogo, Uhuru share stage in Kiambu
Kabogo lost to Waititu in the Jubilee party nominations and is seeking to defend his seat as an independent candidate after Kabogo garnered 69,916 votes, against Waititu’s 353,604.
{Photos}: Kabogo launches Thika Level 5 hospital reproductive unit in his last campaign day
Hongera gavana wa Kiambu kwa kuzindua hii hospitali, wapigaji kura wa gatuzi yako natumai watakua na sababu za kutafakari upya.
Sisi na Nairobi yetu tuna mtihani maana hadi sasa sijashawishika nani anatufaa, kila nikiangalia chaguo zilizopo nakata tamaa. Kidero ametutafuna kwa ufisadi lakini hata hawa wanaojinadi yaani kufikia sasa hakuna aliyenipa hamasa ipasavyo.
------------------------------------------------------------------------
A section of children wing in the Thika Level 5 reproductive hospital unit. Photo/COURTESY
Kabogo said the facility will provide maternity services to women from neighbouring counties, including Murang’a, Machakos, Kitui, Kajiado and Nairobi.
He added that the unit is also the cheapest of its kind in the region in terms of cost of construction.
"In the past, a project of this kind would use over Sh2 billion and the work would still not be complete but for this project to be completed we will use a total of Sh800 million and Kiambu county residents will get the value of their money,” said Kabogo
The facility has been constructed in two years and will partner with the University of Toledo in the provision of renal services.
This comes a day after the governor shared a podium with President Uhuru and DP William Ruto in the presence of his arch rival Kabete MP Ferdinand Waititu.
Read: Crowds cheer as Kabogo, Uhuru share stage in Kiambu
Kabogo lost to Waititu in the Jubilee party nominations and is seeking to defend his seat as an independent candidate after Kabogo garnered 69,916 votes, against Waititu’s 353,604.
{Photos}: Kabogo launches Thika Level 5 hospital reproductive unit in his last campaign day