Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Jamaa boya sana alimwacha mke wake akaoa slay queen sasa demu anasepa na watoto anaenda Euro kuanza maisha upya na kina mandingo. Gaddamit!!First lady wa County ya Machakos Lilian Nganga ametangaza kuachana na mumewe ambaye ni Gavana wa County hiyo Dkt. Alfred Mutua
Dkt. Alfred Mutua ni miongoni mwa wanasiasa waliotangaza kuwania Urais nchini Kenya!View attachment 1894904View attachment 1894905
Mutua is a conmanPole yake Gavana Alfred Mutua. Kuna bazenga amepita na Her Excellency The First Lady Lilian Ng'ang'a Mutua. Vijana wa Nairobi 'hapana tambua'! Hata uwe nani ukizubaa zubaa lazima utaliwa. πNaaiiroobii..... ogopa sana mamaaah! πππ
Huyu ni malay* tu anayezunguka kutoka tajiri mmoja hadi mwingine. Sasa amewacha gavana amehamia mwanamuziki anayeitwa Juliani. Mwisho wa siku utasikia tena amekosana naye na amehamia kuishi na tajiri mwingine. Malay* kama hawa huwa wanawashwa na kum* sanaFirst lady wa County ya Machakos Lilian Nganga ametangaza kuachana na mumewe ambaye ni Gavana wa County hiyo Dkt. Alfred Mutua
Dkt. Alfred Mutua ni miongoni mwa wanasiasa waliotangaza kuwania Urais nchini Kenya!View attachment 1894904View attachment 1894905
Huyu ni malay* tu anayezunguka kutoka tajiri mmoja hadi mwingine. Sasa amewacha gavana amehamia mwanamuziki anayeitwa Juliani. Mwisho wa siku utasikia tena amekosana naye na amehamia kuishi na tajiri mwingine. Malay* kama hawa huwa wanawashwa na kum* sana
Huyo alioa msanii au mke? Celebrity anaweza kuwa mke?First lady wa County ya Machakos Lilian Nganga ametangaza kuachana na mumewe ambaye ni Gavana wa County hiyo Dkt. Alfred Mutua
Dkt. Alfred Mutua ni miongoni mwa wanasiasa waliotangaza kuwania Urais nchini Kenya!View attachment 1894904View attachment 1894905
Safi Sana ngoja aisomeJamaa boya sana alimwacha mke wake akaoa slay queen sasa demu anasepa na watoto anaenda Euro kuanza maisha upya na kina mandingo. Gaddamit!!
Jamani ndugu yangu, huna dada hadi uwadhalilishe kwa maneno makali hivi? Too bad, mtizamo wa sampuli hii sio freshi hata kidogo jombaa.Huyu ni malay* tu anayezunguka kutoka tajiri mmoja hadi mwingine. Sasa amewacha gavana amehamia mwanamuziki anayeitwa Juliani. Mwisho wa siku utasikia tena amekosana naye na amehamia kuishi na tajiri mwingine. Malay* kama hawa huwa wanawashwa na kum* sana
Jamani ndugu yangu, huna dada hadi uwadhalilishe kwa maneno makali hivi? Too bad, mtizamo wa sampuli hii sio freshi hata kidogo jombaa.
Hivi sisi wanaume si ndio magwiji waliobobea kweli kweli kwenye huo mchezo wa kuruka ruka kutoka kwa Wanjiru, Adhis hadi Maimuna? Sasa mbona hasira uzielekeze kwa wachezaji badala ya kuzielekeza kwa mchezo wenyewe?