Gavana wa Meru awaacha watu vinywa wazi baada ya kuipa Barabara jina la Mumewe

Gavana wa Meru awaacha watu vinywa wazi baada ya kuipa Barabara jina la Mumewe

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Gavana wa Meru, Kawira Mwangaza amewaacha Wananchi wa Kaunti hiyo katika hali ya mshangao baada ya kuipa barabara inayounganisha maeneo ya Kirung'a na Muthalankari jina la mumewe, Murega Baichu

Vyombo vya Habari nchini humo vimeripoti kuwa barabara hiyo inaelekea nyumbani kwa Baba mkwe wake, hali ilisababisha kushutumiwa kwa upendeleo na kutumia Rasilimali za Umma kujinufaisha yeye na ndugu zake wa karibu

Aidha, Agosti 2023 alituhumiwa kuajiri ndugu zake Watatu katika ofisi yake ambapo walilipwa Mamilioni na Serikali ya Kaunti kinyume na Ibara ya 10 ya Katiba ya Kenya


........


Meru Governor Kawira Mwangaza has left tongues wagging in the County after naming a rehabilitated road after her husband Murega Baichu.

Mwangaza took to social media on Saturday to share photos of the road under rehabilitation, calling it Murega Baichu Road.

The road connects Kirung'a to Muthalankari area.

"Murega Baichu Rd. Hakuna boiling tena," Mwangaza captioned the photos.

Citizen Digital understands the road leads to her father-in-law's compound, perhaps the reason she named it after her husband.

Rehabilitation of the road which is in Nyaki West Ward, Imenti North Constituency, started a week ago.

The county boss has in the past not shied away from giving special recognition to her husband.

As a result, she has been accused of nepotism, leading to an attempted impeachment that she survived in December 2022.

In August 2023, a petitioner, Thuranira Selesion Mutuma, raised grave accusations against the governor, of allegedly diverting public funds through suspicious payments to relatives and close aides.

In his petition filed at the Senate and presented to the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC), Thunarina wants a probe on how some Ksh42.4 million was paid to four individuals within the last one year.

Selesio stated that the “Meru County Governor has been looting public coffers in a brutal manner through people related to her (nepotisim) in total violation and contravention of Article 10 of the constitution."

The petition listed Mirriam Guantai, Rose Guantai and Nephat Kinyua as some of the relatives employed by the governor in her office.

Her sister, Rose Guantai was listed as one of the people who received large sums of money from the county government.

The petitioner said that between the months of September 2022 and July 2023, Rose received a total of Ksh2,767,648 from the county being payment for accommodation and other unspecified items.

Records from the Integrated Financial Management System (IFMIS) verified that indeed one Rose Guantai was paid by the county on various dates within the period under review.

Source: Citizen Digital
 
Kizuri kula na mumeo na ndugu zako na ndugu wa mumeo ...
 
Back
Top Bottom