Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho wakati wa uzinduzi wa SGR Jumatano, Madaraka Express, alizuiliwa uzinduzi huo
Joho alizuiliwa na maafisa wa polisi kujiuunga na viongozi wengine katika kituo cha reli cha Miritini, akiwemo Rais Uhuru Kenyatta, aliyekuwa akizindua reli hiyo
Huenda Joho alizuiliwa baada ya kutishia kumuuliza Rais Kenyatta maswali kuhusu gharama ya utengenezaji wa reli hiyo
Joho alisema kuwa alipanga kumuuliza Rais sababu za gharama ya reli hiyo kuongezewa kwa zaidi ya Sh. 100 bilioni
Hivi majuzi wakati wa uzinduzi wa feri Mombasa Joho alizuiliwa na maafisa wa usalama
Joho ni mkosoaji mkubwa wa Serikali ya Jubilee hasa kuhusu masuala ya ufisadi na mradi wa SGR, amejibandika 'Adui 001' wa Uhuru Kenyatta na Jubilee
Kulingana naye, Serikali imetia kila juhudi kutetea wadhifa wake wa Ugavana Mombasa
Mgogoro kati ya Joho na Uhuru ulianza wakati Gavana huyo alipomkosoa Rais baada ya kufika Mombasa kuzindua Kivuko, alichodai hakikutengenezwa na serikali kuu ila kwa ufadhili wa Banki ya Dunia
Uhasama kati ya Joho na Rais Kenyatta huenda hautakamilika hivi karibuni, hasa msimu huu wa kisiasa, viongozi wanajipigia debe kuingia mamlakani au kuhifadhi mamlaka yao baada ya uchaguzi ujao
Naye mgombea Urais kupitia muungano wa NASA, Raila Odinga alisema, Ni makosa makubwa kwa Mkenya yeyote kuzuiwa kwa kuwa haungi mkono Serikali.
Huenda Joho alizuiliwa baada ya kutishia kumuuliza Rais Kenyatta maswali kuhusu gharama ya utengenezaji wa reli hiyo
Joho alisema kuwa alipanga kumuuliza Rais sababu za gharama ya reli hiyo kuongezewa kwa zaidi ya Sh. 100 bilioni
Hivi majuzi wakati wa uzinduzi wa feri Mombasa Joho alizuiliwa na maafisa wa usalama
Joho ni mkosoaji mkubwa wa Serikali ya Jubilee hasa kuhusu masuala ya ufisadi na mradi wa SGR, amejibandika 'Adui 001' wa Uhuru Kenyatta na Jubilee
Kulingana naye, Serikali imetia kila juhudi kutetea wadhifa wake wa Ugavana Mombasa
Mgogoro kati ya Joho na Uhuru ulianza wakati Gavana huyo alipomkosoa Rais baada ya kufika Mombasa kuzindua Kivuko, alichodai hakikutengenezwa na serikali kuu ila kwa ufadhili wa Banki ya Dunia
Uhasama kati ya Joho na Rais Kenyatta huenda hautakamilika hivi karibuni, hasa msimu huu wa kisiasa, viongozi wanajipigia debe kuingia mamlakani au kuhifadhi mamlaka yao baada ya uchaguzi ujao
Naye mgombea Urais kupitia muungano wa NASA, Raila Odinga alisema, Ni makosa makubwa kwa Mkenya yeyote kuzuiwa kwa kuwa haungi mkono Serikali.