Gawio la shs. kwa hisa CRDB

Mkuu siku ya kwenda kuchukua hiyo hundi yako nenda na kadi yako ya ATM kabisa maana wakikukata na kodi ya zuio (withholding tax) balance haikutoshi nauli na lunch ya siku hiyo. Hamna jinsi utaingia ATM tu. Labda ujiongeze uwe na hisa angalau 500,000
 
Duuh Mkuu.. Afadhali hata ungefungua fixed deposit ac lol.. Ndo maana hisa za Vodacom, wananchi wengi walikuwa very reluctant kuzinunua..
Nani alikwambia Fixed diposit wanachukua sh.800,000? Na Utapata Faida Kubwa?

Rate ni Hizi hapa tena Mnajidiliana inaweza Kuwa Chini
CRDB Bank 1 Year Fixed Deposit 7.50%
CRDB Bank 6 Month Fixed
Deposit 5.50%
CRDB Bank 3 Month Fixed
Deposit 4.50%
 
Reactions: SDG
Samahani wakuu, hivi kodi inayokatwa kutokana na faida ya kuuza hisa au gawio ni asilimia ngapi?
 
Reactions: SDG
Mkuu bhana, umeniacha nacheeeeeeka
 
Faida ya hisa siyo kwenye gawio. Ni "kuspeculate the best time to sell your shares". Faida iko kwenye mauzo. Unanunua kwa bei ndogo na unauza wakati share price imepanda.
Well said mkuu, na hyo ndo maana ya faida ya hisa
 
Reactions: SDG
Kweli watu hamfikirii na inawezekana hamtumii akili zenu vizuri share moja thaman ya 185 tshs alafu unataka ulipwe faida ya 1000 per share kama gawio lazima utakua chizi Investment imevamiwa
 
Yaani biashara ya hisa uwe na milioni kadhaa ndo utafaidika
 
Reactions: SDG
vihisa vyenyewe vichache unatokwa na povu
 
Nani alikwambia Fixed diposit wanachukua sh.800,000? Na Utapata Faida Kubwa?

Rate ni Hizi hapa tena Mnajidiliana inaweza Kuwa Chini
CRDB Bank 1 Year Fixed Deposit 7.50%
CRDB Bank 6 Month Fixed
Deposit 5.50%
CRDB Bank 3 Month Fixed
Deposit 4.50%
CRDB wametikisika kweli miaka hii miwili, maamuzi ya kutoweka hela za serikali huko yamewagusa sana.
Banc ABC wanatoa fixed deposit 13% hadi 16% sasa hivi kutegemea una kiasi gani.
 
Word!
 
Biashara ya hisa ni ngumu sana inahitaji uvumilivu sana, some time wataki faidi sana ni watoto wako, weww unaweza usiwe Duniani kipindi sasa faida kubwa inaonekana.
 
Reactions: SDG
Mkuu uwekezaji mzuri ni kununua viwanja vilivyopimwa, kwa sababu ardhi inaongezeka thamani kila siku, mimi nilikuwa na viwanja vinne hapa dar ambavyo nilivinunua miaka miwili iliyopita kwa milioni nane nimeviuza majuzi kwa milioni 40
Hivyo viwanja havina fofauti na kununua hisa, Hivi unanunua kiwanja Milioni 3 unakuja kukiuuza milioni 50 baada ya miaka 20 unaona umefaidika sana?
Huwa hatupigi calculationa ndo tatizo, no time value of money.
 
Mkuu siku ya kwenda kuchukua hiyo hundi yako nenda na kadi yako ya ATM kabisa maana wakikukata na kodi ya zuio (withholding tax) balance haikutoshi nauli na lunch ya siku hiyo. Hamna jinsi utaingia ATM tu. Labda ujiongeze uwe na hisa angalau 500,000
Kwani kwenye gawio la Withholding tax.
 
CRDB wametikisika kweli miaka hii miwili, maamuzi ya kutoweka hela za serikali huko yamewagusa sana.
Banc ABC wanatoa fixed deposit 13% hadi 16% sasa hivi kutegemea una kiasi gani.
Izo bank [emoji542] zinaongopa kwa wateja wao. Bank inayotoa hisa kubwa ni exim bank na wenyewe 8%.
 
Reactions: SDG
Hisa watalaam hawasubiri gawio......wataalam wanacheza mchezo wa kununua na kuuza ....unanunua 100 kwa hisa unauza shs 500 kwa hisa.... mtu anaweza kununua hisa asubuhi jioni hali ikibadilika anauza kama kuna faida.
 
Reactions: SDG
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…