Gawio la Tshs. 11.93 kwa hisa linasikitisha, Vodacom inafanya biashara kubwa kuzidi baadhi ya mabenki

Gawio la Tshs. 11.93 kwa hisa linasikitisha, Vodacom inafanya biashara kubwa kuzidi baadhi ya mabenki

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Mimi ni Mwanahisa wa Vodacom na nimepata taarifa kuwa mkutano mkuu wa Wanahisa wa Vodacom utafanyika tarehe 11 Septemba, 2024 kielekroniki. Binafsi nina hakika Vodacom inafanya biashara kubwa hata kuzidi baadhi ya Mabenki lakini kinachosikitisha ni gawio walilotangaza ya Tshs. 11.93 kwa kila hisa.

Kiasi hiki ni kidogo sana ukilinganisha na biashara yao. Mfano kama NMB wanatoa zaidi ya T.shs. 100 kwa kila hisa kwa nini wao watoe kiasi hicho ambacho ni kidogo sana. Ninawaomba njia ya kuchukua ili nitoke kuwa mwanahisa wa Vodacom na nipeleke hisa zangu NMB.

Inasikitisha sana.
 
Mimi ni Mwanahisa wa Vodacom na nimepata taarifa kuwa mkutano mkuu wa Wanahisa wa Vodacom utafanyika tarehe 11 Septemba, 2024 kielekroniki. Binafsi nina hakika Vodacom inafanya biashara kubwa hata kuzidi baadhi ya Mabenki lakini kinachosikitisha ni gawio walilotangaza ya Tshs. 11.93 kwa kila hisa.

Kiasi hiki ni kidogo sana ukilinganisha na biashara yao. Mfano kama NMB wanatoa zaidi ya T.shs. 100 kwa kila hisa kwa nini wao watoe kiasi hicho ambacho ni kidogo sana. Ninawaomba njia ya kuchukua ili nitoke kuwa mwanahisa wa Vodacom na nipeleke hisa zangu NMB.

Inasikitisha sana.
Yani hawa Vodacom hata mimi siwaelewi kabisa miaka yote gawio lao hisa lipo chini sana na kama ulivyosema faida wanapata sana kila siku.
 
Mimi ni Mwanahisa wa Vodacom na nimepata taarifa kuwa mkutano mkuu wa Wanahisa wa Vodacom utafanyika tarehe 11 Septemba, 2024 kielekroniki. Binafsi nina hakika Vodacom inafanya biashara kubwa hata kuzidi baadhi ya Mabenki lakini kinachosikitisha ni gawio walilotangaza ya Tshs. 11.93 kwa kila hisa.

Kiasi hiki ni kidogo sana ukilinganisha na biashara yao. Mfano kama NMB wanatoa zaidi ya T.shs. 100 kwa kila hisa kwa nini wao watoe kiasi hicho ambacho ni kidogo sana. Ninawaomba njia ya kuchukua ili nitoke kuwa mwanahisa wa Vodacom na nipeleke hisa zangu NMB.

Inasikitisha sana.
Sio mtaalamu sana wa mambo haya ya hisa lakini nafikiri hisa za NMB unayolinganisha na voda kwa unit price ni karibu mara 8 za bei ya voda.
 
Sio mtaalamu sana wa mambo haya ya hisa lakini nafikiri hisa za NMB unayolinganisha na voda kwa unit price ni karibu mara 8 za bei ya voda.
Una maana gani? Wakati CRDB hisa watu wananunua kwa Tsh 500 kwa kila hisa na gawio lao mwaka huu ni Tsh 50 kwa kils hisa. Vodacom watu walinunua kwa Tsh 850 kwa hisa mwaka 2017 lakini gawio lao kila mwaka halifiki Tsh 20.
 
Suala la hisa ni la muda mrefu
Pia huwezi kumkadiria mtu biashara yake lazima uangalie mapato na matumizi
 
Hapana mkuu kwa miaka 7 wao wapo chini tu. Na wakati biashara wanafanya transaction za mpesa kila siku, Internet bundle wanakata haraka kama nini ila gawio la hisa bado linakuwa chini.
Lazima ucheki vitabu vya mapato na matumizi
 
Mimi ni Mwanahisa wa Vodacom na nimepata taarifa kuwa mkutano mkuu wa Wanahisa wa Vodacom utafanyika tarehe 11 Septemba, 2024 kielekroniki. Binafsi nina hakika Vodacom inafanya biashara kubwa hata kuzidi baadhi ya Mabenki lakini kinachosikitisha ni gawio walilotangaza ya Tshs. 11.93 kwa kila hisa.

Kiasi hiki ni kidogo sana ukilinganisha na biashara yao. Mfano kama NMB wanatoa zaidi ya T.shs. 100 kwa kila hisa kwa nini wao watoe kiasi hicho ambacho ni kidogo sana. Ninawaomba njia ya kuchukua ili nitoke kuwa mwanahisa wa Vodacom na nipeleke hisa zangu NMB.

Inasikitisha sana.
Halafu ukizopeleka DSE haziuziki
 
Binafsi niliamua kuachana nao yaani nimeacha kufuatilia gawio. Zile pesa ni Kama nilimsaidia tu mtu flan hivi ambaye alihitaji msaada. Gawio kwa mwaka unapata Tsh 52? Kweli? Hata Kama ndio Hisa chache kwamba biashara yao haikui?
 
Nadhani Moja ya sababu ni Kwakuwa Vodacom amekosa mshindani sahihi kama zilivyosekta nyingine katika swala la uwekezaji
Mfano
1.Mabenki -NMB VS CRDB
2.Uwekezaji -DSE VS NICOL
N.k
 
Mambo ya hisa yanahitaji akili kweli, unaweza kutwa kwenye dilemma kubwa sana yaani hisa zako huzitaki na Wala pia haziuziki, vile vile pia huoni future yoyote ya maana... disgusting, Yeah?.
 
Hapana mkuu kwa miaka 7 wao wapo chini tu. Na wakati biashara wanafanya transaction za mpesa kila siku, Internet bundle wanakata haraka kama nini ila gawio la hisa bado linakuwa chini.
Kuna uhuni fulani huko

Ova
 
Back
Top Bottom