Mimi ni Mwanahisa wa Vodacom na nimepata taarifa kuwa mkutano mkuu wa Wanahisa wa Vodacom utafanyika tarehe 11 Septemba, 2024 kielekroniki. Binafsi nina hakika Vodacom inafanya biashara kubwa hata kuzidi baadhi ya Mabenki lakini kinachosikitisha ni gawio walilotangaza ya Tshs. 11.93 kwa kila hisa.
Kiasi hiki ni kidogo sana ukilinganisha na biashara yao. Mfano kama NMB wanatoa zaidi ya T.shs. 100 kwa kila hisa kwa nini wao watoe kiasi hicho ambacho ni kidogo sana. Ninawaomba njia ya kuchukua ili nitoke kuwa mwanahisa wa Vodacom na nipeleke hisa zangu NMB.
Inasikitisha sana.
Kiasi hiki ni kidogo sana ukilinganisha na biashara yao. Mfano kama NMB wanatoa zaidi ya T.shs. 100 kwa kila hisa kwa nini wao watoe kiasi hicho ambacho ni kidogo sana. Ninawaomba njia ya kuchukua ili nitoke kuwa mwanahisa wa Vodacom na nipeleke hisa zangu NMB.
Inasikitisha sana.