gaijini unauliza na kujijibu mwenyewe....
nilichosema ni kuwa homosexuality ni part ya arab culture
sasa kama walirithi kama greeks au la hilo ni issue nyingine
fact hapa ni kuwa iko kwenye culture yao
That I know.
Shida yangu ni kuwa Boss ameshindwa kutetea hoja......:]
Historically Sodom and Gomora was in modern day Syria/Palestina. So from way way back, Homosexuality ilikuwepo kwenye hizo ancient cultures.
Lakini tunachojadili ni kwenye culture ya sasa hali ikoje?
Mmmmmmmmhhhnnnnnnnn!you are so funny gaijin
unakubali ni part of culture yet unataka ushahidi..
weather ni modern day culture or ancient culture
the truth ni hiyo hiyo,its part of their culture
Mmmmmmmmhhhnnnnnnnn!
Kwa hiyo mkuu Boss, do you think nini kifanyike kati ya aidha kuwatambua hawa gays and lez au kutowatambua na kuwatishia maisha wakati tunajidanyanya kuwa hawapo kumbe wanaendeleza libeneke underground?mkuu unaguna nini?
hivi tukisema ni part ya meditaranean culture
italian culture,greek culture its okay
kasoro arabs?
Kwa hiyo mkuu Boss, do you think nini kifanyike kati ya aidha kuwatambua hawa gays and lez au kutowatambua na kuwatishia maisha wakati tunajidanyanya kuwa hawapo kumbe wanaendeleza libeneke underground?
Mkuu Boss, Duuuuuu!mkuu its complicated
trust me..hivi unaufahamu ugonjwa unaitwa transgender disoder????
wanasema ubongo wa mtoto mchanga hutambua jinsia yake after three months
toka kuzaliwa,sasa hutokea kwabahati mbaya watoto wengine,ubongo hutambua jinsia
tofauti...mfano mtoto wa kiume but ubongo umetambua jinsia ya kike..
so toka mtoto ana miezimitatu,anajitambua kama mwanamke na sio mwanaume
pata picha hapo?
Homosexuality is currently on the rise among the members of all religions.
sio huyo mmoja,ni general
mfano kuzuia wanawake kwenye events ambazo culture nyingine hawazuii
pia hata language ya kiarabu ina utajiri wa maneno yanayohuu gays na gay clture in generall
hata kiswahili maneno yote yanahoyusu gays yametoka kwa waarabu
<br />
<br />
Boss kweli naona logic kwenye argument yako.
Hii ya kutenganisha wanawake na wanaume imekaa kama magereza au jail hivi. Ndio maana na huko haya mambo yapo sana. Nasikia ukishaanza huachi.
Naona ni kibiologia sana na wanaume kutokuwa na uvumilivu kama wanawake. Mwanaume naona ni virahisi kutafuta sehemu ya ku-release.
FF hawa ndugu zetu gayz and lez wanapatikana ktk kila community ama religion. Sasa kuliko ku-deny kuwa wanaexist na kumbe wapo, nini kifanyike? Tuendelee kuwaaccept in our societies, ama tuzidi kuwacondemn na tubakie in denial kuwa hawaexist kumbe they are in the closet?Mbona makanisani hakuna segregation ya wanawake na wanaume lakini tunaona na kusoma mpaka wikipedia kuwa mapadri wanaongoza kwa kuwa ma gay duniani? kulikoni?
Duhh, na western world jinsi ilivyojaa me gay na mi lesbian na huko ndio hakuna segregation nako unasemaje?
Falsafa ya segregation ukiitazama positively utaona inatia hamasa kwa wanaume kutaka wanawake na wanawake kutaka wanaume.
Hivi mwanamke ukishaonekana nusu uchi kila siku na kila mtu nani atakuwa na hamu na wewe tena? Mnanchekesha!
FF hawa ndugu zetu gayz and lez wanapatikana ktk kila community ama religion. Sasa kuliko ku-deny kuwa wanaexist na kumbe wapo, nini kifanyike? Tuendelee kuwaaccept in our societies, ama tuzidi kuwacondemn na tubakie in denial kuwa hawaexist kumbe they are in the closet?
Binafsi sikubaliani na homosexuality. Lakini kama watu hawa wapo ktk jumuiya zetu.....What needs to be done?Naona mjadala unaelekea kwenye udini badala ya tatizo. Sidhani kama kutakuwa na unbiased conclusion
1) Tupe ushahidi wa yote kama ulivyoandika.
2) Hilo nililoweka nyekundu nalo ni kiarabu?
Unanchekesha!
<br />In Arabic countries nackia vijana hugeuzwa na wazee wao kuwa wake hadi pale atakapooa ndio anaachwa. Na hii hutokea hasa wakati mama ananyonyesha. Pia kule wanawake hawaonekani so wanapunguziana hamu. I thnk acoding to what my friend told me, every arabian man alishakuwa sodomizd by hs father au brothers na inafichwa kweli.
Really???<br />
<br />
Zanzibar hapo kuna mzee kamuacha nkewe kwa ajili ya maraha na ujuzi wa kishoga anaopewa na mwanawe nkubwa wa kiume