Gaza Doesn't Have Enough Food For The Children While The World Full Of Food Is Watching And Doing Nothing

2 of Amerikaz most wanted

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2023
Posts
1,328
Reaction score
3,718
They made their world so hard
Everyday we got to keep on fighting
They made their world so hard
Everyday the people are dying

For hunger and starvation - lamentation
But read it in Revelation
You will find your redemption

And then you give us the teachings of his majesty for we no want no devil philosophy.

Feel it in the one drop
And we will still find time to rap


 
Kama HAMAS wanarusha silaha ndani ya Israel na kuua yeyote yule, kwanini Israel isishushe vyuma vizito ndani ya Gaza bila kutazama nani atakufa.

Hii itafanya kila kiumbe chenye pumzi gaza kukata moto, hapo kazi inakuwa rahisi sana kufuta kizazi cha kigaidi cha HAMAS kuliko hii huruma wanayopewa.

Wapalestina wanaipenda HAMAS, na HAMAS ni wapalestina. Sioni sababu ya Israel kutoshusha mabomu mazito ili kuifuta kabisa gaza, hao watu 2m wanaoishi Gaza wangefutwa tu ili kuipa dunia amani.

Rest in Peace kijana wetu Mollel.
 
Hizi picha zisikutishe sana maana hata Tanzania japo hatuna vita ila Kuna watoto wengi Wana utapiamlo tena ule hatari kabisa ( severe malnutrition)
 
Upo uwezekano wa kufutika wote wanaotaka kuifuta Gaza kabla ya wao kufanikiwa kuifuta.
 
Kwani mahandaki ya hamas ameshindwa ku supply chakula?
 
Usimchanganye Bob Marley wa karne ya 19 was really hii ni Karne ya 20 full stage even picha ulizoweka ni photoshop.. Nakupa Onyo news ikitoka from Islamic source 98% ni uongo na hizo 2% zitakuwa zimetiwa chumvi kupitiliza... Allah wao alidai yeye ni Mkuu wa deception
 
Lyrics from Bob Marley song "ONE DROP"

Moja ya mistari makini kutoka wimbo wa mkali wa Reggae duniani Bob Marley "One Drop"
 
Sasa wanakumbatia hamasi anayetafuta wayahudi awaue halafu wabaki salaama?. Israel amesema Hamasi wanajificha kwenye kichaka cha ceasefire huku wameshikilia mateka na UN na baadhi ya mataifa wamesema ceasefire bila kusema hamas achia mateka, Israel amesema wanaosema ceasefire ni maadui wa Israel wanataka Israel iangamie na kufutwa mashariki ya kati, Israel inaendelea kusema hakuna ceasefire mpaka Rafah ifumuliwe. Ni sawa na na jeshi la Ukraine liende liue warusi na kuwateka kisa Rusia amekalia Crema halafu waombe ceasefire.
 
Hao wauaji wanaotesa hawa watoto wamekwisha laaniwa na watalipia hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…