Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hebu angalieni wenyewe halafu Toeni maoni yenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mara ngapi ufipa wameongopa lowassa ni fisadi na pesa ya malipo ya richmond zinakwenda mfukoni kwa lowassa kuna hatua gani mlichukuliwa kwa huo uongo!
Jikite kwenye madaKwani mara ngapi ufipa wameongopa lowassa ni fisadi na pesa ya malipo ya richmond zinakwenda mfukoni kwa lowassa kuna hatua gani mlichukuliwa kwa huo uongo!
Mbowe jambazi SanaJikite kwenye mada
Uongo hapa duniani sio jambo geni.
kwan yule kiongozi muandamizi anae ituhumu chadema kwa rushwa ya kupindukia, na huku yeye mwenywe akiwa miongni mwa waandamizi ndani yake, unadhani anaeweza kuchukuliwa hatua kweli?🐒
Jikite kwenye madakwan yule kiongozi muandamizi anae ituhumu chadema kwa rushwa ya kupindukia, na huku yeye mwenywe akiwa miongni mwa waandamizi ndani yake, unadhani anaeweza kuchukuliwa hatua kweli?🐒
mayowe kama yote ukiguswa kidogo tu 🤣Jikite kwenye mada
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kabisa lo ndo ilishapita hivoo
IrrellevantKwani mara ngapi ufipa wameongopa lowassa ni fisadi na pesa ya malipo ya richmond zinakwenda mfukoni kwa lowassa kuna hatua gani mlichukuliwa kwa huo uongo!
😆😆😆😆Irrellevant