Gazeti la Champion na ushabiki wa kijinga

Nyenyere

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2010
Posts
14,804
Reaction score
10,715
Nimeshangaa gazeti LA Champion ambalo linapaswa kuwa kibiashara zaidi kuleta ushabiki mandazi. Hii front page haikuwekwa hivi kwa bahati mbaya

 
Nimeshangaa gazeti LA Champion ambalo linapaswa kuwa kibiashara zaidi kuleta ushabiki mandazi. Hii front page haikuwekwa hivi kwa bahati mbaya


Nashukuru tu Mungu kwamba hujajiita Nyerere bali umejiita Nyenyere. Humo Championi kuna Watu ' Vichwa ' haswa wa masuala za Uandishi wa Habari hivyo acha kutaka ' kuwachafua '. Kama mligombea Demu na mmoja wa Wafanyakazi wa Gazeti la Championi labda akakuzidi ' Kete ' hivyo hasira zako unazimalizia Kwao wote unafanya Kosa kubwa. Pambana na hali yako tafadhali.

Kiuandishi tu na hasa Kitaaluma huo muonekano wa Gazeti la Championi upo sahihi 100% na hakuna sehemu yoyote ile ambayo wamelalia upande fulani. Katika Gazeti ambalo naliamini, nalikubali na nawaheshimu sana Waandishi wake wakiongozwa na ' Kamarada ' wangu wa Kutukuka Saleh Ally Metodo basi ni hilo la Championi.
 
SIMBA yuko vizuri first half tu

Jidanganye tu Mkuu ila ' nujumu / tabiri ' za leo zinaonyesha bila wasiwasi kuwa Yanga anafungwa 3 kwa 0 Taifa. Kichuya, Mavugo na Okwi. Tukutane katika matokea hapo Saa 1 usiku leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…