Nchaby
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 797
- 259
Habari za weekend wanajamvi. Kunako miaka ya 1990s kulikuwa na gazeti pendwa lililokuwa likijihusisha na masuala ya sayansi na saikolojia ya binadamu likifahamika kwa jina la JITAMBUE.
Hili gazeti lilikuwa likieleza namna akili ya binadamu ilivyo na nguvu ya ajabu ya kuweza kutoa majibu ya kitu anachowaza binadamu na kueleza sayansi ambayo wanasayansi bado walikuwa hawajaweza kuielezea ipasavyo.
Nilikuwa nikilipenda sana hili gazeti ambalo likuwa likitolewa kila siku ya jumatano. Sikufahamu aliyekuwa analimilki gazeti hilo, na sijui lilikopotelea.
Wanajamvi kama kuna yeyote mwenye chohote juu ya gazeti hilo anijuze.
Hili gazeti lilikuwa likieleza namna akili ya binadamu ilivyo na nguvu ya ajabu ya kuweza kutoa majibu ya kitu anachowaza binadamu na kueleza sayansi ambayo wanasayansi bado walikuwa hawajaweza kuielezea ipasavyo.
Nilikuwa nikilipenda sana hili gazeti ambalo likuwa likitolewa kila siku ya jumatano. Sikufahamu aliyekuwa analimilki gazeti hilo, na sijui lilikopotelea.
Wanajamvi kama kuna yeyote mwenye chohote juu ya gazeti hilo anijuze.