What is GS?Ikifika wiki ijayo kuanzia Jumatatu nitafafanua kwa kina zaidi.
Kuna taarifa kwamba mmiliki wa gazeti 'Mbongo' amekuwa kwenye majadiliano na makubaliano ya mwisho wiki hii (sijui ya lazima au hiari) kuhusu uwezekano wa kununua gazeti lake au kufungwa kwa maslahi mapana ya GS ijayo.
Mwenyekiti anategemea vyombo vya habari vitamsaidia kufanya Promo hivyo mkakati uliopo ni kuvinunua vyote au kuvifungia mpaka upepo huo upite.
Gazeti "Mbongo" lipo kwenye hatua za mwisho kuwa mali za chama rasmi baada ya Ch10 na Maajabu ef'em!
mbona Mtanzania wametangaza wenyewe kwamba ugumu wa maisha umesababisha kuanzia jumatatu wataacha kuchapisha gazeti lao , taarifa zipo humu jfInterest si ungetutolea na mtihani kabisa wana JF, maana umeandika kwa MAFUMBO na VITENDAWILI visivyojibika kwenye huu uzi wako.[emoji2955]
Mwenyekiti anatapatapa Atatangazwa na matendo yake magazeti ni makaratasi tuIkifika wiki ijayo kuanzia Jumatatu nitafafanua kwa kina zaidi.
Kuna taarifa kwamba mmiliki wa gazeti 'Mbongo' amekuwa kwenye majadiliano na makubaliano ya mwisho wiki hii (sijui ya lazima au hiari) kuhusu uwezekano wa kununua gazeti lake au kufungwa kwa maslahi mapana ya GS ijayo.
Mwenyekiti anategemea vyombo vya habari vitamsaidia kufanya Promo hivyo mkakati uliopo ni kuvinunua vyote au kuvifungia mpaka upepo huo upite.
Gazeti "Mbongo" lipo kwenye hatua za mwisho kuwa mali za chama rasmi baada ya Ch10 na Maajabu ef'em!
hii ilikuwa pre emptying, ili watu wasishangae in future actions.mbona Mtanzania wametangaza wenyewe kwamba ugumu wa maisha umesababisha kuanzia jumatatu wataacha kuchapisha gazeti lao , taarifa zipo humu jf
General selection, mind you" not general election"What is GS?
yawezekana , lakini chochote kinachopelekwa ccm ni sawa na kukimaliza kabisahii ilikuwa pre emptying, ili watu wasishangae in future actions.