Gazeti la msimbazi na matangazo ya freemason

Gazeti la msimbazi na matangazo ya freemason

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Hili gazeti letu pendwa matangazo ya freemason yamekuwa mengi,imekuwa kama bango la wale waganga wa jadi na matapeli kuwekea matangazo ya freemason, kila kurasa za kati hadi mwisho hayo matangazo yamejaa na yamekaa kitapeli tu,kwanini wahariri wanaruhusu huo upuuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Li tim la ovyo ovyo hilo linaloendeshwa kiujanja ujanja na matapeli yaliyo kibuhu
 
Huyo ni tapeli wa mjini hana jipya.

Pesa mbaya sana. Alikuwa mpinzani wa kampuni hadi Mo alipojiongeza na kumpa chake. Kelele za club kuilea kwa kuuza vitumbua na chapati zikaishia hapo. Sasa ni Board Member. Pesa ni tamu.
😂😂😂 Njaa ilikuwa inamsumbua yule.
 
Freemason si ni shirika halali na limesajiriwa na Serikali.
Lina haki ya kujitangaza kwenye media yoyote.
Angalia unaweza shtakiwa na kaudhibiwa na Mahakama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili gazeti letu pendwa matangazo ya freemason yamekuwa mengi,imekuwa kama bango la wale waganga wa jadi na matapeli kuwekea matangazo ya freemason, kila kurasa za kati hadi mwisho hayo matangazo yamejaa na yamekaa kitapeli tu,kwanini wahariri wanaruhusu huo upuuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Simba wenyewe ndio imani yao,na hao wanaoyaleta ndio waganga wao. Vipi wawakatalie. Nao wakigoma kumpa Kagere hirizi itakuwaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom