The Fixer
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 1,365
- 594
Wana JF,
Assalaam aleykum !
Chuo cha kiislamu cha Al - jazeera cha jijini Mwanza kimelifikisha mahakamani gazeti la Mtanzania kikidai fidia ya shilingi Bilioni mbili kufuatia kuripoti habari kuwa chuo hicho kinaendesha mafunzo ya Ugaidi.
Gazeti hilo litokalo kila siku, limefunguliwa mashitaka na chuo hicho na kwa mara ya kwanza limefikishwa mahakamani April 30,2013 katika mahakama kuu jijini Mwanza kujibu mashtaka yanayolikabili na kuahirishwa hadi julai 16,2013.
Hata hivyo kesi hiyo imedaiwa kushindwa kusikilizwa na kulazimika Jaji anayesikiliza kesi hiyo Mh Mwangesi kuihairisha kufuatia mwakilishi wa gazeti hilo jijini Mwanza kudai kuwa hakuwa na hati ya mashitaka.
Source: Gazeti la An - nuur
The Fixer,
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Assalaam aleykum !
Chuo cha kiislamu cha Al - jazeera cha jijini Mwanza kimelifikisha mahakamani gazeti la Mtanzania kikidai fidia ya shilingi Bilioni mbili kufuatia kuripoti habari kuwa chuo hicho kinaendesha mafunzo ya Ugaidi.
Gazeti hilo litokalo kila siku, limefunguliwa mashitaka na chuo hicho na kwa mara ya kwanza limefikishwa mahakamani April 30,2013 katika mahakama kuu jijini Mwanza kujibu mashtaka yanayolikabili na kuahirishwa hadi julai 16,2013.
Hata hivyo kesi hiyo imedaiwa kushindwa kusikilizwa na kulazimika Jaji anayesikiliza kesi hiyo Mh Mwangesi kuihairisha kufuatia mwakilishi wa gazeti hilo jijini Mwanza kudai kuwa hakuwa na hati ya mashitaka.
Source: Gazeti la An - nuur
The Fixer,
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums