Hakuna tatizo kwa gazeti kuandika leo hivi kesho likaendika vile kulingana na facts linazopata. Wajinga ni wale ambao wanafungia gazeti kwa sababu dhaifu na kila mara wanashindwa kortini! Kuna ubaya gani mwandishi kuhoji nani anastahili maombi kati ya Lissu na Rais provided ameweka hoja zake? Tatizo mmejaa uoga na mko weupe upstairs kukabiliana na hoja za wenzenu, hivyo silaha yenu imebaki kuwa ni bunduki na kufungia vyombo vya habari!Gazet hilohilo liliandika Lowasa hasafishiki...lakini kwa mshangao walimsafisha wemyewee..siasa gani hizi za udanganyif mchana kweupee
Kuna uongo upi katika makala inayohoji nani aombewe-Lissu au Magufuli? Maana hii ndio makala iliyosababisha gazeti lifungiwe na sio kitu kingine!Uhuru bila uwajibikaji you endup in anarchy (mpatampatae). Hakuna uhuru usio na mipaka; kwa hili, moja ya hiyo mipaka ni kuandika ukweli. Ukiandika uongo lazima uwe tayari kubeba consequences zake.
Ok. Ume comment baada ya kuona maelezo na vielelezo vya serikali-sasa kwa mujibu wa maelezo hayo, uhakika ni kwamba serikali imefungia gazeti la Mwanahalisi kutokana na makala (ambayo wao serikali wameiita ni habari) inayohoji nani wa kuombewa-Lissu au Magufuli? Umeridhika gazeti kufungiwa kwa sababu hiyo?Nilicomment baada ya kuona maelezo na vielelezo vilivyotolewa na Serikali na kuanisha na comment iliyotolewa na mchangia mada. Na hata wewe inaonekana katika hili la Mwanahalisi huna la kulitetea ndio maana umehamishia magoli Mawio. Huwa sicomment nisichokijua kama hilo la Mawio ulilolileta.
Wao kama wanahisi wameonewa ndio waende mahakamaniKama wanaadika uongo wawapeleke mahakamani
Bure kabisa, umesahau habari za kifaru cha Jeshi kuibiwa na watu watatu? .huwezi sema tu waandike kulingana na fact wanazopata. Hakuna taifa la hivyo duniani. Wakipata fact lazima wazithibitishe, hatuwezi kupoteza fedha na muda kununua/kusoma ujingaHakuna tatizo kwa gazeti kuandika leo hivi kesho likaendika vile kulingana na facts linazopata. Wajinga ni wale ambao wanafungia gazeti kwa sababu dhaifu na kila mara wanashindwa kortini! Kuna ubaya gani mwandishi kuhoji nani anastahili maombi kati ya Lissu na Rais provided ameweka hoja zake? Tatizo mmejaa uoga na mko weupe upstairs kukabiliana na hoja za wenzenu, hivyo silaha yenu imebaki kuwa ni bunduki na kufungia vyombo vya habari!
Ni kiwango chako cha uelewa ndipo kimeishia hapo, hakuna namna ya kukusaidia. Sikiliza, wajinga wanalikomalia Mwanahalisi kuhusiana na Lowasa, lakini wanageuka mabubu kwa serikali ambayo ndio hushughulikia mafisadi. Lowasa baada ya kujiunga Chadema alieleza suala hilo kwa undani ambao hakuwahi kueleza huko nyuma kutokana na "waliokuwa wanautaka uwaziri mkuu" kutompa nafasi. Na ujue kwa kuwa anaheshimu mifumo ya utawala Lowassa hakutaka kuiangusha serikali kupitia suala hilo hivyo kuna mambo hakutaka kuyaeleza na akakubali kujitoa mhanga!Bure kabisa, umesahau habari za kifaru cha Jeshi kuibiwa na watu watatu? .huwezi sema tu waandike kulingana na fact wanazopata. Hakuna taifa la hivyo duniani. Wakipata fact lazima wazithibitishe, hatuwezi kupoteza fedha na muda kununua/kusoma ujinga
Hilo suala la habari za kifaru cha jeshi "kuibiwa na watu watatu" unallifananisha na hili la Mwanahalisi? Ulisoma maelezo ya kosa ambalo walisomewa hao watuhumiwa? Acha kuvamia mambo usiyoyajua...Bure kabisa, umesahau habari za kifaru cha Jeshi kuibiwa na watu watatu? .huwezi sema tu waandike kulingana na fact wanazopata. Hakuna taifa la hivyo duniani. Wakipata fact lazima wazithibitishe, hatuwezi kupoteza fedha na muda kununua/kusoma ujinga
Likifunguliwa tena basi abadili jina na liitwa 'Mwanaharamu'Safi sana
Sio kujieleza ili iweje!!
na hili gazeti limezidi sasa
naomba lipigwe mazima
Kwakutumia Quran au kitabu chochote unaweza KutofAutisha uchawi na albadir mliyokuwa mnaifanya?Chuki ikizidi inaenda kwenye uchawi.Uchawi huogopa sana Albadir ndio maana wakaipiga marufuku.
Gazeti la Mwanahalisi na Mawio yanaonekana ni magazeti korofi kila wa leo ni wao tu.....
Je yawezekana habari zao zina ukweli "mere plain truth" ila wanakosea namna ya uwasilishaji kwa wapendwa wa magazeti hayo ama wanahisi wakitumia taaluma kufichamafichama haitaeleweka wazi kwa wasomaji....
Nadhani taaluma ya utangazaji na uandishi they don't dare talk openly but they talk open by riddles.