Gazeti la Mwananchi kuanza kutoza gharama za kusoma taarifa zao

Gazeti la Mwananchi kuanza kutoza gharama za kusoma taarifa zao

BARA BARA YA 5

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2009
Posts
1,174
Reaction score
835
Nimesikia leo kwamba wataanza kutoza kupata habari zao, ambapo kwa siku ni Tzs. 500, hapa najiuliza yaani wameona pamoja na gawio wanalopata kwenye MB tunazotumia, wameona haitoshi. Halafu habari za kulipia 500 zina uzito gani, hebu watuache.
 
Nimesikia leo kwamba wataanza kutoza kupata habari zao, ambapo kwa siku ni Tzs. 500, hapa najiuliza yaani wameona pamoja na gawio wanalopata kwenye MB tunazotumia, wameona haitoshi. Halafu habari za kulipia 500 zina uzito gani, hebu watuache.
Hivi hizi fikra za watu kudhani tovuti au app zinapata gawio la malipo unayolipa kununua MB mlizitoa wapi?
Hakuna anayelipwa hata 10 kwa kutembelea tovuti au kutumia app yake. Hata jf haipati chochote kwenye malipo ya mb zako same to facebook, instagram na mitandao mingine.
Halafu ni watu wengi huwa wana fikra hii. Model ya monetization ya internet haiko hivyo hata kidogo.
 
Hivi hizi fikra za watu kudhani tovuti au app zinapata gawio la malipo unayolipa kununua MB mlizitoa wapi?
Hakuna anayelipwa hata 10 kwa kutembelea tovuti au kutumia app yake. Hata jf haipati chochote kwenye malipo ya mb zako same to facebook, instagram na mitandao mingine.
Halafu ni watu wengi huwa wana fikra hii. Model ya monetization ya internet haiko hivyo hata kidogo.
Ikoje mkuu tuelimishe kidogo
 
Ikoje mkuu tuelimishe kidogo
Ela unazipata kwenye matangazo labda kama google adsense, na wengine. Au ya kulipwa moja kwa moja kama unayoyaona hapa jf ina maana wanalipwa moja kwa moja na wenye matangazo hayo.
Wengine wanakusanya subscription, mfano anavyofanya mange kambi. Wengine wanapokea donation. Wengine wanapokea pesa kwa kutangaza bidhaa pasipo wewe unayesoma kujua.
Mfano unakuta mtu anachambua magari ana tovuti. Anakuandikia makala anaisifia halafu kuna link ukiibofya inakupeleka kwenye tovuti ya kuuza magari. Ukinunua anapata conmission.
Pesa ya MB ni ya ISP peke yake hawahusu wengine labda kodi ya serikali.
 
Nimesikia leo kwamba wataanza kutoza kupata habari zao, ambapo kwa siku ni Tzs. 500, hapa najiuliza yaani wameona pamoja na gawio wanalopata kwenye MB tunazotumia, wameona haitoshi. Halafu habari za kulipia 500 zina uzito gani, hebu watuache.
hilo gazeti limelewa sifa ya kuwa credible. Hizo habari zilizoandikwa humo wasome wenyewe
 
Nimesikia leo kwamba wataanza kutoza kupata habari zao, ambapo kwa siku ni Tzs. 500, hapa najiuliza yaani wameona pamoja na gawio wanalopata kwenye MB tunazotumia, wameona haitoshi. Halafu habari za kulipia 500 zina uzito gani, hebu watuache.
Duh!!!
Kwanini umetumia neno "Hebu watuache"....???
 
Majuu magazeti mengi ya mitandaoni yanalipiwa.

Huwezi kusoma washington post bure bure tu eti sababu una bando
 
Nimesikia leo kwamba wataanza kutoza kupata habari zao, ambapo kwa siku ni Tzs. 500, hapa najiuliza yaani wameona pamoja na gawio wanalopata kwenye MB tunazotumia, wameona haitoshi. Halafu habari za kulipia 500 zina uzito gani, hebu watuache.

Mwananchi ni kampuni ndogo sana kulipwa mgao wa mb.

Malipo ya mgao wa mb wanalipwa kina youtube, kina tik tok, facebook. Hao ndio wana nguvu ya kuwachaji wauza data duniani. Ila sio kikampuni kama mwananchi
 
Back
Top Bottom