Gazeti la Mwananchi, Ni lini Mbowe alitangaza kugombea Urais wa Tanzania 2025?

Gazeti la Mwananchi, Ni lini Mbowe alitangaza kugombea Urais wa Tanzania 2025?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Wiki iliyopita Msemaji wa Serikali ya Tanzania alitembelea ofisi za Mwananchi na kupokelewa na kiongozi wa gazeti hilo

Je huu ndio Uzushi Waliokubaliana kuuandika kwenye gazeti lao?

Screenshot_2024-08-18-22-42-36-1.png


Ni wapi ambapo Freeman Mbowe alitangaza kugombea Urais wa Tanzania?

Natangaza rasmi kulidharau gazeti hili katika muda huu mfupi lililosaliwa nao hapa duniani .
 
Wiki iliyopita Msemaji wa Serikali ya Tanzania alitembelea ofisi za Mwananchi na kupokelewa na kiongozi wa gazeti hilo

Je huu ndio Uzushi Waliokubaliana kuuandika kwenye gazeti lao?

View attachment 3073677

Ni wapi ambapo Freeman Mbowe alitangaza kugombea Urais wa Tanzania?

Natangaza rasmi kulidharau gazeti hili katika muda huu mfupi lililosaliwa nao hapa duniani .
kwani Lisu alitangaza wapi kabla ya kubanwa na vyombo vya habari juzi na jana?🐒
 
Wiki iliyopita Msemaji wa Serikali ya Tanzania alitembelea ofisi za Mwananchi na kupokelewa na kiongozi wa gazeti hilo

Je huu ndio Uzushi Waliokubaliana kuuandika kwenye gazeti lao?

View attachment 3073677

Ni wapi ambapo Freeman Mbowe alitangaza kugombea Urais wa Tanzania?

Natangaza rasmi kulidharau gazeti hili katika muda huu mfupi lililosaliwa nao hapa duniani .
Umesoma ndani? Ficha ujinga wako
 
Chama ni Mbowe...na Mbowe ndiye chama.....

Kipindi hichi watu aina ya Lowassa(assets in Mbowe's voice)hawapo.....

Washenga hawatakuwa na kazi....kifuatacho ni yeye tu....yeye atakayesimama.....

Kumsimamisha TL ndio bomu zaidi....

Mzee wangu mmoja alipata kuniambia kuwa "watu wasiotabirika ni hatari sana...."...TL hatabiriki...hajali chochote....lolote linaweza kumtoka muda wowote....

Ni bora ya Julius Malema wa EFF ya SA....ana ajenda na si mh.Tundu Lissu.....

Wewe ulilipwa na nani ulipomsingizia Makonda kuwa ana mdororo wa siha ?!! [emoji1787]

#Nchi Kwanza[emoji7]
 
Chama ni Mbowe...na Mbowe ndiye chama.....

Kipindi hichi watu aina ya Lowassa(assets in Mbowe's voice)hawapo.....

Washenga hawatakuwa na kazi....kifuatacho ni yeye tu....yeye atakayesimama.....

Kumsimamisha TL ndio bomu zaidi....

Mzee wangu mmoja alipata kuniambia kuwa "watu wasiotabirika ni hatari sana...."...TL hatabiriki...hajali chochote....lolote linaweza kumtoka muda wowote....

Ni bora ya Julius Malema wa EFF ya SA....ana ajenda na si mh.Tundu Lissu.....

Wewe ulilipwa na nani ulipomsingizia Makonda kuwa ana mdororo wa siha ?!! [emoji1787]

#Nchi Kwanza[emoji7]
Tayari nishakuweka kwenye Ignore List, kuhangaika na wajinga ni kupoteza muda, kwaheri ya kutokuonana
 
Wiki iliyopita Msemaji wa Serikali ya Tanzania alitembelea ofisi za Mwananchi na kupokelewa na kiongozi wa gazeti hilo

Je huu ndio Uzushi Waliokubaliana kuuandika kwenye gazeti lao?

View attachment 3073677

Ni wapi ambapo Freeman Mbowe alitangaza kugombea Urais wa Tanzania?

Natangaza rasmi kulidharau gazeti hili katika muda huu mfupi lililosaliwa nao hapa duniani .
Unahangaika sana hayo ndio malipo yenu!
 
Natangaza rasmi kulidharau gazeti hili katika muda huu mfupi lililosaliwa nao hapa duniani .
Gazeti la Mwananchi ndilo gazeti kiongozi la Kiswahili linaloongoza nchini Tanzania, huwezi kulidharau, ni kama maji, usipoyanywa, utayaoga, na usipoyaoga, yatakuosha siku ya siku!.
Hivyo hata ukilidharau, lazima utalisoma tuu! .
P
 
Wiki iliyopita Msemaji wa Serikali ya Tanzania alitembelea ofisi za Mwananchi na kupokelewa na kiongozi wa gazeti hilo

Je huu ndio Uzushi Waliokubaliana kuuandika kwenye gazeti lao?

View attachment 3073677

Ni wapi ambapo Freeman Mbowe alitangaza kugombea Urais wa Tanzania?

Natangaza rasmi kulidharau gazeti hili katika muda huu mfupi lililosaliwa nao hapa duniani .
Walishajifia wanatafuta soko kwa KULAZIMISHA
 
Wiki iliyopita Msemaji wa Serikali ya Tanzania alitembelea ofisi za Mwananchi na kupokelewa na kiongozi wa gazeti hilo

Je huu ndio Uzushi Waliokubaliana kuuandika kwenye gazeti lao?

View attachment 3073677

Ni wapi ambapo Freeman Mbowe alitangaza kugombea Urais wa Tanzania?

Natangaza rasmi kulidharau gazeti hili katika muda huu mfupi lililosaliwa nao hapa duniani .
Kwani wewe ni nani kwa Mbowe mpaka ujuwe maongezi yooote anayoongea?

Unatutia wasiwasi sasa. Hata Joyce Mukya hajui kila kitu
 
Back
Top Bottom