Kinuju
JF-Expert Member
- Mar 20, 2021
- 2,386
- 5,325
Kauli ya mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ya kuitaka Serikali kulazimisha watu kupata chanjo ya corona imepingwa na kuzomewa kila kona na watanzania kwa sababu ina kila aina ya udikteta ndani yake kwa sababu mbowe amezoea udikteta ndani ya chama chake.
Watanzania wengi wameendelea kuungana na rais Samia kuwa chanjo hiyo iwe ya hiari.
Watanzania wengi wameendelea kuungana na rais Samia kuwa chanjo hiyo iwe ya hiari.