Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu, siku za karibuni ni kama limejiunga na machawa. Kila wiki lazima ziwepo habari za kusifia rais na Serikali yake kama vile wameshuka kutoka mbinguni. Hata mkongwe Generali ameangukia humo.
Je, na utamu wa asali au kwa vile rais ni "mwenzetu"?
Je, na utamu wa asali au kwa vile rais ni "mwenzetu"?