Habari zimfikie Musiba popote alipoNimekuwa nikifuatilia kwa karibu, siku za karibuni ni kama limejiunga na machawa. Kila wiki lazima ziwepo habari za kusifia rais na serikali yake kama vile wameshuka kutoka mbinguni. Hata mkongwe Generali ameagukia humo. Je na utamu wa asali au kwa vile rais ni "mwenzetu"?
Kama hujui mzee Twaha aka ulimwengu ni Muslims pro max yeye na zito udini Udini tuNimekuwa nikifuatilia kwa karibu, siku za karibuni ni kama limejiunga na machawa. Kila wiki lazima ziwepo habari za kusifia rais na serikali yake kama vile wameshuka kutoka mbinguni. Hata mkongwe Generali ameagukia humo. Je na utamu wa asali au kwa vile rais ni "mwenzetu"?
Kwa niniZamani nilikuwa mpenzi sana wa kusoma magazeti! Ila kwa sasa nitakuwa muongo. Nafikiri awamu ya 5, ilinisaidia sana kuondokana na huu uraibu.
Nilijua hilo ila nililiweka kwenye ukyubaKama hujui mzee Twaha aka ulimwengu ni Muslims pro max yeye na zito udini Udini tu
USSR
Kama asili ya BurundiKazee kafki sana hako
USSR
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu, siku za karibuni ni kama limejiunga na machawa. Kila wiki lazima ziwepo habari za kusifia rais na serikali yake kama vile wameshuka kutoka mbinguni. Hata mkongwe Generali ameagukia humo. Je na utamu wa asali au kwa vile rais ni "mwenzetu"?
Rais Samia Ni Kama maji kwa Sasa usipoyanywa utayaoga tuu.Ndugu mwashambwa ni mmoja wa wahariri hapo
Rais Samia Ni Kama maji kwa Sasa usipoyanywa utayaoga tuu.