Sema mama wa busaraMzima lakini wewe dearUmepotea sana mpenzi...Afro...........
MmmhhhhNiachie na mimi ni suuze kidogoKhaaaa we huona mpaka ntapata mume " Ivuga"Hahahaha lol Hahaha miaka hiyo ya 80duuhh basi ni la Mtei tu Cheki linavyo jaa .. Ukifika Dongob kutola BBT huna hamuHala hakuna choo kwenye standi dongob hahahaha lolNirudishie bwana....siunaona nlivyopoteza mabusara nimekua mchachu sana.....?!Alafu we umenikumbusha maporini...dah sitakaa niisahau ile safari!
haya bhana....Kusoma sio tatizo tatizo ni how serious utayachukuliayale uliyoyasoma kwenye gazeti kama hilo. Bila kuyasoma utajuaje na kuyatofautisha?
MmmhhhMjomba bado yuko pale pale teh teh tehhaya mambo ya kukumbushana nyumbani si mazurihivi dk. maleyek bado yupo pale ? au uliishia bulumbulu?
yule chale chale mmoja si alijifanya kuweka pingamizi?Mmmhhhh IvugaNdoa unatangaza mara ngapi dear?
bibie vipi kwani tena?Afro...........
Hahahahahaha lolzSi we ndie ulieuliza mwenye pingamizi??Polee ...yule chale chale mmoja si alijifanya kuweka pingamizi?bibie vipi kwani tena?
Yani we usuuze wakati mi nafulia???!SITAKI!!AHAHAHA...kama ulikuwepo...basi lilivyotuharibikia msituni ndo ilikua balaa.Dah inabidi nikapande ile milima tena siku moja...utanipeleka!!!MmmhhhhNiachie na mimi ni suuze kidogoKhaaaa we huona mpaka ntapata mume " Ivuga"Hahahaha lol Hahaha miaka hiyo ya 80duuhh basi ni la Mtei tu Cheki linavyo jaa .. Ukifika Dongob kutola BBT huna hamuHala hakuna choo kwenye standi dongob hahahaha lol
Kazi yako kuanika tu..Au hutaki hata hiyoMaana we mtoto kwa madoidoUmejaliwa..Mmmhh mlima upi wa Bashnet?Halafu hapo bado hujasukuma gariLipande mlima mnatembea nyuma ya basi kamakilometer 5 hivi..Mnabeba basi badala liwabebe nyieHahaha lol raha kweli kweli ...Yani we usuuze wakati mi nafulia???!SITAKI!!AHAHAHA...kama ulikuwepo...basi lilivyotuharibikia msituni ndo ilikua balaa.Dah inabidi nikapande ile milima tena siku moja...utanipeleka!!!
Hahahah....SITAKI!!Na mimi nataka kuosha na kusuuza kama wewe!!Heheheh huo huo....yani tulitoka BBT asubuhi mida sijui ya saa sita sita hivi basi likawa mzoga tulikaa mpaka jioni.Mvua ikanyesha...hamna cha maji ya kunywa wa chakula watu wanalalamika.Bahati nzuri sie tulikua tumefungasha ikabidi tuwagawie wengine kidogo kidogo...alafu kuna mtu alikua amebeba makreti nadhani mawili ya soda tukagawiwa tupunguze kiu na njaa.Ila tulivyofika Hanang (nadhani) tukakuta tunasubiriwa na ugali mlainiiii na nyama ya mbuzi...mauchovu yote ya safari yakasahaulika!!Kazi yako kuanika tu..Au hutaki hata hiyoMaana we mtoto kwa madoidoUmejaliwa..Mmmhh mlima upi wa Bashnet?Halafu hapo bado hujasukuma gariLipande mlima mnatembea nyuma ya basi kamakilometer 5 hivi..Mnabeba basi badala liwabebe nyieHahaha lol raha kweli kweli ...
Kumbe nikitumia Nyama ya Mbuzi naweza kukupata wewe teh! Huyoo kakamatika!Hahahah....SITAKI!!Na mimi nataka kuosha na kusuuza kama wewe!!Heheheh huo huo....yani tulitoka BBT asubuhi mida sijui ya saa sita sita hivi basi likawa mzoga tulikaa mpaka jioni.Mvua ikanyesha...hamna cha maji ya kunywa wa chakula watu wanalalamika.Bahati nzuri sie tulikua tumefungasha ikabidi tuwagawie wengine kidogo kidogo...alafu kuna mtu alikua amebeba makreti nadhani mawili ya soda tukagawiwa tupunguze kiu na njaa.Ila tulivyofika Hanang (nadhani) tukakuta tunasubiriwa na ugali mlainiiii na nyama ya mbuzi...mauchovu yote ya safari yakasahaulika!!
c mngenitafuta hapa BBT karibu na kituo cha polisi nimejaa tele hapa.Hahahah....SITAKI!!Na mimi nataka kuosha na kusuuza kama wewe!!Heheheh huo huo....yani tulitoka BBT asubuhi mida sijui ya saa sita sita hivi basi likawa mzoga tulikaa mpaka jioni.Mvua ikanyesha...hamna cha maji ya kunywa wa chakula watu wanalalamika.Bahati nzuri sie tulikua tumefungasha ikabidi tuwagawie wengine kidogo kidogo...alafu kuna mtu alikua amebeba makreti nadhani mawili ya soda tukagawiwa tupunguze kiu na njaa.Ila tulivyofika Hanang (nadhani) tukakuta tunasubiriwa na ugali mlainiiii na nyama ya mbuzi...mauchovu yote ya safari yakasahaulika!!
Hahahahaha...embu anza kesho basi kunihonga!!Kumbe nikitumia Nyama ya Mbuzi naweza kukupata wewe teh! Huyoo kakamatika!
Hahahaha....kumbe Ivuga ni ri afande furani....?!c mngenitafuta hapa BBT karibu na kituo cha polisi nimejaa tele hapa.
Hahahahaha Dahh we mtoto umenikumbushaNa kunipa raha sana.. halafu mi Ndo napatA lunch sasa hiyo nyama yaMbuzi mmhhh Leo ni mimi na " mawazo tu ' lolzwaonaje kama tukiandika kitabu cha upande ule wa TZ?? Kitabu kita baseKwenye experience za watu. .. tutafanya research ya kutoshaKabla hatuja anza kukiandika...Hahahah....SITAKI!!Na mimi nataka kuosha na kusuuza kama wewe!!Heheheh huo huo....yani tulitoka BBT asubuhi mida sijui ya saa sita sita hivi basi likawa mzoga tulikaa mpaka jioni.Mvua ikanyesha...hamna cha maji ya kunywa wa chakula watu wanalalamika.Bahati nzuri sie tulikua tumefungasha ikabidi tuwagawie wengine kidogo kidogo...alafu kuna mtu alikua amebeba makreti nadhani mawili ya soda tukagawiwa tupunguze kiu na njaa.Ila tulivyofika Hanang (nadhani) tukakuta tunasubiriwa na ugali mlainiiii na nyama ya mbuzi...mauchovu yote ya safari yakasahaulika!!
hapana....mimi ni mjasiriamali..kwani kukaa karibu na mahakama ndio kujua sheria?Hahahaha....kumbe Ivuga ni ri afande furani....?!
Tena kesho c jumamos? Ntakupeleka mnada wa nyama teh!Hahahahaha...embu anza kesho basi kunihonga!!
Mmh! Lunch muda huu duh!Hahahahaha Dahh we mtoto umenikumbushaNa kunipa raha sana.. halafu mi Ndo napatA lunch sasa hiyo nyama yaMbuzi mmhhh Leo ni mimi na " mawazo tu ' lolzwaonaje kama tukiandika kitabu cha upande ule wa TZ?? Kitabu kita baseKwenye experience za watu. .. tutafanya research ya kutoshaKabla hatuja anza kukiandika...
Mkuu hapo ndipo ofisi yako ilipo? we ni afande? Salute!c mngenitafuta hapa BBT karibu na kituo cha polisi nimejaa tele hapa.