Gazeti la Tanzania Daima lamuomba radhi Mh. James Mbatia

Gazeti la Tanzania Daima lamuomba radhi Mh. James Mbatia

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Gazeti la Tanzania Daima limemuomba radhi mbunge wa Vunjo mkoani Kilimanjaro Mh. James Mbatia kwa kumuandika ndivyo sivyo.

Mhariri wa gazeti hilo ameomba radhi katika ukurasa wa mbele wa toleo la leo la Tanzania Daima.

1585902709970.png

Maendeleo hayana vyama!
 
Hukuona hizo issue nyingine zilizokolezwa wino!
 
Back
Top Bottom