Gazeti la Tanzania Daima wamebadili jina?

Gazeti la Tanzania Daima wamebadili jina?

Idofu

Senior Member
Joined
Oct 24, 2022
Posts
116
Reaction score
199
Nauliza tu kwa wanaojua, hivi gazeti la Tanzania Daima wamebadili jina na kujiita Gazeti la Demokrasia? Au ni magazeti mawili tofauti? Kama ndio kwa nini gazeti la Tanzania Daima halipo sokoni siku hizi?
 
Hata Magazeti ya Mtanzania na Rai hayaonekani sokoni!!
 
Back
Top Bottom